Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupooo yeye amekamilika kila idaraHapo mshana Yupo namba ngap?? 😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vya kutisha na kuchekeshaKama mapenzi yangekuwa yanafanyikia hadharani tungeona vitu vingi sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha huwa sijui kuficha ukweli mtu atakavyofikiria ni yeye I don't care
bas nibadili maelezo kuna mtu hujamzungumzia shem
wee naupenda usingizi wangu mambo ya kuanza kusikia bundi anakwarua bati usiku nani anataka!? kama hujamjua baasi....
Aisee hongera!!
Hahahahha usiniambue na wewe unaogopa uchawi hata mm naogopa ndo maana sjasema kituwee naupenda usingizi wangu mambo ya kuanza kusikia bundi anakwarua bati usiku nani anataka!? kama hujamjua baasi....
Katika pitapita zangu za kimaisha nilishawahi kusimuliwa mahali kuwa palikuwepo njemba moja aliyekuwa anajua kuvaa vzr na mikwanja alikuwa nayo; hapo mtaani mabinti walikuwa wakimkataa kwa kuwa jamaa alikuwa na tabia ya kulia wakati wa kugegedana (hasa wazungu wanapokaribia kutoka)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vya kutisha na kuchekesha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kuna wanaume nasikia huwa wanalia machozi hiiiiiiiiii iiiiiiih wengine wanakodoa machooo kama mjusi kabanwa na mlangoKatika pitapita zangu za kimaisha nilishawahi kusimuliwa mahali kuwa palikuwepo njemba moja aliyekuwa anajua kuvaa vzr na mikwanja alikuwa nayo; hapo mtaani mabinti walikuwa wakimkataa kwa kuwa jamaa alikuwa na tabia ya kulia wakati wa kugegedana (hasa wazungu wanapokaribia kutoka)
Siku moja,jamaa akajichanganya akamtongoza mdada fulani hivi hapo mtaani (mtoto wa ukweli tako lipo chuchu kama pencils za HB na amepanda vidato siyo standard)
Sasa yule mdada akamwambia jamaa "Mimi naogopa kukupa kitumbua nasikia wewe huwa unalia"....jamaa akamwambia huyo mdada " hapana watu wananisingizia"
Kweli baadae yule mdada akamwamini jamaa na kumpa mgodi auchimbe lkn wazungu walipokaribia kutoka vikawa ni vioja visivyosimulika
Jamaa alianza kulia taratibu "iiiiiii,iiiii,iiiii,iiiii,iiiii,iiiii,iiiiiii,uuuuuwiiiiiiii,huwa silii,huwa siliii,huwa silii,mama yangu we"
So,kwenye ngono kuna mambo mengi ambayo huwezi hata kuyasimulia kwa kuwa mengine ni mambo ya aibu sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,kuna wengine inavyosemekana huwa wanatamka maneno yasiyo na maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kuna wanaume nasikia huwa wanalia machozi hiiiiiiiiii iiiiiiih wengine wanakodoa machooo kama mjusi kabanwa na mlango
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuuh hakii nimecheka sanaa ujue ndo maana watu hawataki kusema siri zaooooMkuu,kuna wengine inavyosemekana huwa wanatamka maneno yasiyo na maana
Pia,wapo wanaong'ata wenzao na kutoa siri zao zote pindi wana potaka ku-ejaculate au wanapotaka ku-cum
Sent using Jamii Forums mobile app