Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
- Thread starter
- #501
Usifanye hivyo bhn watu wengi wamekuwa wakilalamika kupigwa ban sababu hiyoooJana nimewahi huko labda kilichoniokoa niliongeza tu maneno kulingana na mada,ngoja leo nitest zali la mentali
Sent using Jamii Forums mobile app