Vituko vya watoto wa-kishua

Mwanaume wa dar on fleek
 
Tulianza vuzuri sana nimemrekebisha mambo mengi ila kwenye swala la jikoni hakutaka kabisa. Siku nyingine anasemwa na marafiki zake lakini wapi. Mwisho wa siku mi nikajiona kama mpitaji tu. Sikua na la ziada.
Majukumu ya mwanamke kwa mwanaume si kupika wala kuosha vyombo.
 
Kwan mke wako huyo mkuu we si ungevumilia tu mikuku hiyo au kujifanya mgumu??
 
Kwan mke wako huyo mkuu we si ungevumilia tu mikuku hiyo au kujifanya mgumu??
Hahaa.. Mkuu washikaji walinilaumu kinoma sema nilikua sina budi kuachana nae. Ki ukweli yapo mengi nikianza kuelezea kuna watu itakua rahisi kunifahamu au kumfahamu yeye. Hasa niliosoma nao those days
 
Watoto wa Mbowe wanaishi kwenye hii kauli..

"keep change,unamawazo mengi,itakufariji
wikend"
 
Ila swala la kupika ni janga hata wa huku kwetu tatizo labda wapike mapishi mapya ya mende
 
Umenikumbusha, kuna toto moja la kiume about 25yrs nikimrudisha mshua wake yani huwa ananikera daddy daddy hana tofauti na dada zake wao USA, Dubai wanakwenda kama tunavyokwenda sie tandale posta
 
...hivi sasa ni saa mbili kamili,
..kwa saa za Afrika Mashariki!
Kwa heshima tu nimekudharau...jiulize kwanini?!! Mana hata bando hujachangia ka mtafutaji usingeingia chitchat saa2 ungeingia jukwaa la uvuvi ufugaji au kule kwa wajasiliamali..ndo hiviii
 
Kama ni kweli unajituma na manisha unafuga Kuku na huku umejiajiri kama boda boda unafaa kuongezewa mtaji.
Mkuu we una element za lipumba MCHUMI MCHWARA bora dikteta uchwara
 
sijawahi kutana na wa kishua,,,,,,,,,,,,!!
Haaa kwani wana mabango mkuu?
Kwa haraka ni lazima uswitch ubadiri viwanja kiufupi uwe misheni town soi kila siku lia lia..sometym unabadirika ata fegi ka uvuti siku iyo unawasha,unaingia kiwanja chochote wapo ka makopo ya plastik yan wamejaa..
Kinachofata ni mpangilio wa stories tu sio mambo ya sisiem mara bashite..unakuta mtu wa mipango ka unamiliki kampuni
Af maeneo ka ayo unaweza chomoka na madili kibao...haaaaahhh
 
Nasisi tulio huku kijijini tutawapataje mkuu...maana naona hizo mandhari ni za mijini ......
 
Nasisi tulio huku kijijini tutawapataje mkuu...maana naona hizo mandhari ni za mijini ......
Mkuu dunia sio kijiji tena ni jiji kwani nauli ya mjini na matanuzi shingap
 
Nasisi tulio huku kijijini tutawapataje mkuu...maana naona hizo mandhari ni za mijini ......
Wewe huko pambana na watoto wa Mtendaji wa Kijiji au Mwenyekiti wa Kijiji, pia wapo watoto kutoka familia zile zinazo ogopwa kwa Uchawi.

Mabinti kutoka katika Makundi hayo niliyo kutajia, wana vijitabia vinarandana na Wa-kishua kutoka Mjini..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…