Vituko vya watu mkoani mbeya

luziiii

Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
43
Reaction score
49
watu wambeya mpooooo njooni huku tuwasute.
(1)
Wakija dar hupenda kwenda hotel in nakugiza wali nyama au ugali nyama choma.
wakisha ulizabei,utamuona anakohoa nakumwambia mhudumu punguza kidogo.

enyiwatu wambeya hukusiokwenu mkiona chakulakinabei, mwambie shemeji akupikie ujenacho
(2)mkija huku kwetu kilakitu kipo
wanawake weupe wazuri wanyekuvutia wapo

siokama kwenu wanawake mmewakomaza hadishep hawana
(3)sehemu zastarehe hadimunachoka wenyewe,
Mnapenda mambo yawaganga yanapatikana dar

(4)mkifika dar fateni mlichofata.
Watu wambeya Ndiomnao ongoza kuibiwa hapa dar.
dar itabaki kuwa dar haiwezibadirika kuwa mwanjelwa au mlowo au tukuyu.
Nawatakia usikumwema.
 
We kabila gani hata kuandika kiswahili hujui kenge wew
 
Amesahau na mirinda nyeusi,,, ndio wanapenda kushushia mbalaga na makasokela,,,
 
We si una kaa mkuranga dar umehamia Lin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…