Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] anataka kukuvuruga huyu jamaa.Rudi Shuleni inaonyesha ulikimbia umande, unaweza jilinganisha na watu Wa Mbeya wewe? Kama hujui Watu Wa Mbeya Ndiyo Watu waliotapakaa Ulimwenguni, Dar Siyo Jiji la kuwafanya wawe washamba. Ebu niishie hapa, ila Acha ushamba Wa kisukuma
Duu wameanza ku produce 2018?weusi wake ukoje Kama lami?Wanabebaga take away,,, Pepsi ndo producer,,, jamaa wanapenda vitu vitamtam balaaaa
mh baba jina lako hilo gumu kama hiphopWe si una kaa mkuranga dar umehamia Lin?
Naona unajifanyisha!! Au huelewi kweli?Duu wameanza ku produce 2018?weusi wake ukoje Kama lami?
Tukwizyahazole majina yawatu mbozi hayo. Mpozile weya[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ukuloleha we muhaya. Wewakoshi?ubhalamushe pi handa na pachapwa nakwisansa
Andamana ili liwe jepesimh baba jina lako hilo gumu kama hiphop
Kwa uandishi wako "unajitahidi". Nadhani hujagundua tofauti kati ya wambeya na wa mbeya!watu wambeya mpooooo njooni huku tuwasute.
(1)
Wakija dar hupenda kwenda hotel in nakugiza wali nyama au ugali nyama choma.
wakisha ulizabei,utamuona anakohoa nakumwambia mhudumu punguza kidogo.
enyiwatu wambeya hukusiokwenu mkiona chakulakinabei, mwambie shemeji akupikie ujenacho
(2)mkija huku kwetu kilakitu kipo
wanawake weupe wazuri wanyekuvutia wapo
siokama kwenu wanawake mmewakomaza hadishep hawana
(3)sehemu zastarehe hadimunachoka wenyewe,
Mnapenda mambo yawaganga yanapatikana dar
(4)mkifika dar fateni mlichofata.
Watu wambeya Ndiomnao ongoza kuibiwa hapa dar.
dar itabaki kuwa dar haiwezibadirika kuwa mwanjelwa au mlowo au tukuyu.
Nawatakia usikumwema.