The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
Dah! hapo natamani pawe na chai ya maziwa yenye mdalasini au wenyewe wanakwambia spice. Hicho kitumbua hakiendi na chai kavu ati ehe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
Vipo vitumbua vya mchele, vya kuku, vya nyama, vya samaki na hata vya kunde.
Kuhusu Hicho chuma tafuta chengine, nonstick. Lkn kweli vina kazi kupata kama alivosema farkhina. Hata huku kwetu zenji mi nlitafuta sana, nlibahatika kupata kimoja tena bei 50 thousand.
Dah! hapo natamani pawe na chai ya maziwa yenye mdalasini au wenyewe wanakwambia spice. Hicho kitumbua hakiendi na chai kavu ati ehe!
Asante kwa upishi habibty.
Vitumbua ivo very tasty.
asante kwa mapishi
Leo nimefika Toronto Canada nitakuja huko kwako jioni niandalie kila kitu mahalati ya vyakula haloooooo mdogo wangu.Hahahahaha london ontario?
Leo nimefika Toronto Canada nitakuja huko kwako jioni niandalie kila kitu mahalati ya vyakula haloooooo mdogo wangu.
Zile chila nlisubiria weeee....nlilala na njaa
Shosti kuna na kile cha umeme pia....
Tupe mapishi farkhina angalau tupate la kuwapikia waume zetu tukinafasika!!..Mahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6
Namna ya kutaarisha
1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...
5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
He mpnz we, si nlikwambia sim imegoma ku upload, najua hazifiki Toronto ila kwa simu.
Zimelala mpk jana asubuhi lkn utasema ndo kwanza zimepikwa. Lol
Tupe mapishi farkhina angalau tupate la kuwapikia waume zetu tukinafasika!!..
Nikuulize hapohapo huyo kuku mzima tunaechemcha? Au ana vipimo?
Nataka kumpikia bwana week end!
asante shost. Mie napendaga kuiga mapishi lkn these kind f mapishi!! Sasa what next? Vipi cakes...km chocolate cakes za design tofauti tofauti plsKuku nusu anatosha....
Mpikie hizo ndio pepo zenyewe shoga angu....
Tupe mapishi farkhina angalau tupate la kuwapikia waume zetu tukinafasika!!..Mahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6
Namna ya kutaarisha
1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...
5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
asante shost. Mie napendaga kuiga mapishi lkn these kind f mapishi!! Sasa what next? Vipi cakes...km chocolate cakes za design tofauti tofauti pls
Ipo moja hapa zebra cake itizame.....ntaweka na nyengine inshallah
Itabidi nifanye hivo manake napitwaOwh pole sana....tafuta chengine
Heeeeeh kuna vitumbua vya aina nyingi namna hii ama kweli tembea ujifunze na humu jf tunajifunza Mengi mbona Mungu awabariki wote wasio na choyo ya kutoa ujuzi wao kwa wahitaji .Vipo vitumbua vya mchele, vya kuku, vya nyama, vya samaki na hata vya kunde.
Kuhusu Hicho chuma tafuta chengine, nonstick. Lkn kweli vina kazi kupata kama alivosema farkhina. Hata huku kwetu zenji mi nlitafuta sana, nlibahatika kupata kimoja tena bei 50 thousand.