Vitumbua vya kuku

Vitumbua vya kuku

Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..

Dah! hapo natamani pawe na chai ya maziwa yenye mdalasini au wenyewe wanakwambia spice. Hicho kitumbua hakiendi na chai kavu ati ehe!
 
Vipo vitumbua vya mchele, vya kuku, vya nyama, vya samaki na hata vya kunde.

Kuhusu Hicho chuma tafuta chengine, nonstick. Lkn kweli vina kazi kupata kama alivosema farkhina. Hata huku kwetu zenji mi nlitafuta sana, nlibahatika kupata kimoja tena bei 50 thousand.

Shosti kuna na kile cha umeme pia....
 
Last edited by a moderator:
Leo nimefika Toronto Canada nitakuja huko kwako jioni niandalie kila kitu mahalati ya vyakula haloooooo mdogo wangu.

Hhahahaha usijali na leo kuna supu ya pweza nimepika uje tu kula....
 
Mahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6


Namna ya kutaarisha

1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...

5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida


Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
Tupe mapishi farkhina angalau tupate la kuwapikia waume zetu tukinafasika!!..


Nikuulize hapohapo huyo kuku mzima tunaechemcha? Au ana vipimo?
Nataka kumpikia bwana week end!
 
He mpnz we, si nlikwambia sim imegoma ku upload, najua hazifiki Toronto ila kwa simu.

Zimelala mpk jana asubuhi lkn utasema ndo kwanza zimepikwa. Lol

Hhahahahaha usijali shukraan....najua hukua na nia ya kuninyima.
 
Tupe mapishi farkhina angalau tupate la kuwapikia waume zetu tukinafasika!!..


Nikuulize hapohapo huyo kuku mzima tunaechemcha? Au ana vipimo?
Nataka kumpikia bwana week end!

Kuku nusu anatosha....
Mpikie hizo ndio pepo zenyewe shoga angu....
 
Kuku nusu anatosha....
Mpikie hizo ndio pepo zenyewe shoga angu....
asante shost. Mie napendaga kuiga mapishi lkn these kind f mapishi!! Sasa what next? Vipi cakes...km chocolate cakes za design tofauti tofauti pls
 
Mahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6


Namna ya kutaarisha

1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...

5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida


Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
Tupe mapishi farkhina angalau tupate la kuwapikia waume zetu tukinafasika!!..


Nikuulize hapohapo huyo kuku mzima tunaechemcha? Au ana vipimo?
Nataka kumpikia bwana week end!
 
asante shost. Mie napendaga kuiga mapishi lkn these kind f mapishi!! Sasa what next? Vipi cakes...km chocolate cakes za design tofauti tofauti pls

Ipo moja hapa zebra cake itizame.....ntaweka na nyengine inshallah
 
Kitumbua cha kuku,sijakisikia wala kukila na hivi sina chuma cha kuchomea wala sijitii tamaa!
Shukran ukhti!!
cc. King'asti
 
Last edited by a moderator:
Vipo vitumbua vya mchele, vya kuku, vya nyama, vya samaki na hata vya kunde.

Kuhusu Hicho chuma tafuta chengine, nonstick. Lkn kweli vina kazi kupata kama alivosema farkhina. Hata huku kwetu zenji mi nlitafuta sana, nlibahatika kupata kimoja tena bei 50 thousand.
Heeeeeh kuna vitumbua vya aina nyingi namna hii ama kweli tembea ujifunze na humu jf tunajifunza Mengi mbona Mungu awabariki wote wasio na choyo ya kutoa ujuzi wao kwa wahitaji .
 
Back
Top Bottom