Vitumbua vya kuku


asante sana kwa mara nyengine. kidogo sjaelewa, yale mayai yetu tunayaekea ndani ya hivi vitumbua, au wakati wa kuchoma yaani kama kwenye katless, nsaidie pliz nataka njaribu weekend
 
Pishi zuri sana. Kuku alikuwa na kg ngapi mpaka ukapata idadi hii ya vitumbua uliyoattach?? Na je mchuzi uliutumia wakati wa kusaga?
 
wanitamanisha weye
 
mkuu muungwana anafaidi kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…