Vitunguu vs Viazi Ulaya


Watanzania tunafanyiana figisu sana, Mkenya akija hapa atalipia ushuru/kibali kimoja au viwili tu anavusha mzigo! Nenda wewe Mtanzania uone utitiri wa vibali sijui huwa unatokea wapi.

Sister wangu kabisa alishalishtukia hilo deal kitambo lakini alikwamishwa na utitiri wa mambo ya ushuru na vibali mpaka akaacha. Alipeleka mara moja tuu hapo Kenya.

Ajabu Wakenya wanavusha kila leo bila vurugu zozote! Nahisi tunabaniana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…