Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo geita eneo lina udongo wa mfinyanzi,
Platozoom
VP una data za kilimo cha vitunguu swaumu?
Platozoom
Soko la vitunguu maji liko vp ukifanya kwa large scale?
Platozoom
Thanks boss you have touched everything I needed
Asante. Labda pengine unataka kulima maeneo gani? na utatumia mvua au kumwagilia? na kama kumwagilia ni kwa kutumia pampu au matone?
Hivi maeneo ya pwani vitunguu vinastawi?
Eneo la ruvu ni zuri sana vinastawi tena ukilima kiangazi ni safi sana
Nashukuru sana kwa info.
Una contact yeyote mitaa ya huko Ruvu?
Asante. Labda pengine unataka kulima maeneo gani? na utatumia mvua au kumwagilia? na kama kumwagilia ni kwa kutumia pampu au matone?
Nataka kulima dodoma mkuu nitakuwa nafanya irrigation bado nipo kwenye process za kuchimba kisima so ntakuwa kwa kuanzia ntakuwa namwagilia kwa mipira tu ila project ikisimama ntatumia sprinklers matone nadhani ni very expensive ni project ya 200 acres kuset drip irrigation kwenye 200 acres I can't afford it's too expensive na zao kubwa ninalofikiria kulima ni vitunguu na pilipili hoho that's why nikaulizia market ya vitunguu in a large scale.Any advice boss?
Thanks kwa ushauri mkuu sitaanza kulima yote kwa pamoja nikishamaliza kuchimba kisima nitaanza kama na ekari 20 tu hivi au 30 ili kupata uzoefu kwanza na nitakuwa naongeza ukubwa wa eneo kadri ya muda unavyokwenda na matokeo ya awali yalivyo,Vitunguu vinahifadhika kwa muda gani? what is the maximum time unayoweza kuvitunza another alternative naona ni kuvitunza hadi soko liwe zuri kama haviharibiki mapema.Huyo jamaa na yeye yupo Dodoma? kama yes ningependa kumtembelea kujizolea uzoefu wa vitendo kidogo 60 acres kama anazimanage vizuri ni nyingi sana