Shibe ni mwana malevya, hao Oilcom wamelewa pesa sasa wanafanya vituko. TPDC nafikiri haiukuachishwa kiubaya ilikuwa ni kuwapa watu wengine chance ya kuonyesha uwezo wao. sasa wameleta jeuiri lazima kutakwua na mkono wa mtu humo, kama siyo fisadi kutoka mjengoni dodoma.
Unajua nchi kama Rwanda na Burundi wamethiliwa na vita ila kama ungeniambia nichague wapi niishi ningeenda Rwanda, principled country, huwezi kuamka leo ukanzisha sheria yako unayoijua ya ulaji ukafanya implemetation za kijinga kama Tanzania.
Tuzidi kushukuru kwa kuwa wapumbavu, hatuna choice, kila kitu ndiyo mzee.