Royal Tour
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 252
- 459
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwenye nia mbaya akiyahitaji mafuta atayapata tu hata kwa kunyonya kwenye tank la gari.Huu utaratibu upo muda mrefu, kuuziwa mafuta kwenye kidumu uje na barua kutoka serikali ya mtaa iandikwe kwa matumizi ya nini.
Kuzuia uchomaji wa vituo vya polisi kwa mujibu wa intelijensia 😀😀😀
KiusalamaNi kwanini katika vituo vya mafuta vya GBP mmeanza kukataa kutuuzia mafuta kwenye vidumu? Au mnataka tuwe tunabeba water pump tunakuja nazo ndo mtujazie mafuta?
Mnadai mmepewa maagazo na EWURA je hayo maagizo yanawahusu nyie tu GBP na sio vituo vingine vya mafuta?
Ni uhuni tu unataka kunambia mtu hawezi kuweka kwa gari au pkpk akaenda kuweka kwa chombo kingine na kutumia kwa matumizi mingine?Huu utaratibu upo muda mrefu, kuuziwa mafuta kwenye kidumu uje na barua kutoka serikali ya mtaa iandikwe kwa matumizi ya nini.
Kuzuia uchomaji wa vituo vya polisi kwa mujibu wa intelijensia 😀😀😀
Hata uje na Simtank Hapana!Nimeuliza leo kwamba hata dumu la lita 20', wakesema ni madumu yote 😂
Kuna matank maalum ya kuweka mafuta hivyo vidumu tunafoji tuu. Kumbuka mafuta yako kwenye kundi la vimiminika vinavyolipukaKivipi?
Kuna matank maalum ya kuweka mafuta hivyo vidumu tunafoji tuu. Kumbuka mafuta yako kwenye kundi la vimiminika vinavyolipukaKivipi?
Lakini sio sawa kuwalaumu GBP. Wao wamefata utaratibu ambao umewekwa na mamlaka inayosimamia wauza mafuta wote tanzania. Wewe pia kama mnunuzi fata utaratibu vipo vyombo special vya kuhifadhia petrol sio madumu ya plastikiNimeona ila tukiongea Sasa kiuhalisia hii kanuni ni ya kiuwendawazimu.
Naomba picha ya hicho chombo specialLakini sio sawa kuwalaumu GBP. Wao wamefata utaratibu ambao umewekwa na mamlaka inayosimamia wauza mafuta wote tanzania. Wewe pia kama mnunuzi fata utaratibu vipo vyombo special vya kuhifadhia petrol sio madumu ya plastiki
Kuna generator ambazo ni kubwa na fixed kabisa, unashauri wafanyeje?Wako sahihi kabisa
Wanaogopa mtawakamata wezi wa vipimoNi kwanini katika vituo vya mafuta vya GBP mmeanza kukataa kutuuzia mafuta kwenye vidumu? Au mnataka tuwe tunabeba water pump tunakuja nazo ndo mtujazie mafuta?
Mnadai mmepewa maagazo na EWURA je hayo maagizo yanawahusu nyie tu GBP na sio vituo vingine vya mafuta?
Huo ndio unaitwa ujinga. Hakuna intellijensia hapo.Huu utaratibu upo muda mrefu, kuuziwa mafuta kwenye kidumu uje na barua kutoka kwa serikali ya mtaa iandikwe kwa matumizi ya nini.
Kuzuia uchomaji wa vituo vya polisi kwa mujibu wa intelijensia 😀😀😀