Vituo vya mafuta vina mabango ya "zima simu yako" lakini pembeni kuna linalosema unaweza kulipa kwa Tigopesa, Mpesa n.k

Vituo vya mafuta vina mabango ya "zima simu yako" lakini pembeni kuna linalosema unaweza kulipa kwa Tigopesa, Mpesa n.k

Unajaziwa wese then unawasha moto, akikuambia lipia mwambie nimezima simu.

Akikuuliza tena, mwambie nafuata masharti yenu.
 
wanatuchezea akili hawaaa
 
Back
Top Bottom