DOKEZO Vituo vya mwendokasi ya Mbagala vinajengwa chini ya kiwango

DOKEZO Vituo vya mwendokasi ya Mbagala vinajengwa chini ya kiwango

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mtoa mada anaweza asiwe mwandishi mzuri wa mawazo yake, lakini ujumbe imefika vizuri sana.

• Mabanda ya vituo hayapo katika ubora kama yale yanayotumika katika barabara nyingine za mwendokasi za zamani.

• Barabara za mabasi zipo katika kiwango cha chini sana, nadhani simenti wanaweka kidogo. Zimeanza kubomoka. Tembelea kituo cha Mission ama Mtoni utapata jibu.

Kwani mbagala mwendokasi zimesha anza kazi!!? Au ndio vinabomoka kabla ya mradi kuanza

Ila mkandarasi wa barabara hiyo kafunika sana! Mradi hauishi miaka nenda rudi, au anafanya kwa pesa zake yeye mwenyewe mfukoni!!!?
 
Kichwa cha uzi kinajitosheleza, wahusika chukueni hatua mapema.
Zege lilotumika cement ni kidogo sana, limeanza kubomoka kabla ya matumizi.
Screws, bati na zile bars miaka miwili tu zitakua zishahalibika na kutu.
Hilo liko wazi... Kama vile vibanda vya mwanzo vilijengwa vizuri lakini vimekosa matunzo vimekuwa kama vilivyo leo...
Hivi viavyojengwa awamu hii vitaleta majanga makubwa sana!
Tuvute subira!
 
Kwani mbagala mwendokasi zimesha anza kazi!!? Au ndio vinabomoka kabla ya mradi kuanza

Ila mkandarasi wa barabara hiyo kafunika sana! Mradi hauishi miaka nenda rudi, au anafanya kwa pesa zake yeye mwenyewe mfukoni!!!?
Endelea kusubiri mpaka vutakapoanza kazi baada ya kukabidhiwa kwa serikali ndipo uje kulalamika hapa!

Kama hata wewe umeona viashiria vy ubora dhaifu kwa kucheleweshwa kukamilika mradi unadhani ubora utakuwepo?

Hata kama sina elimu ya ujenzi kwa macho tu kwa kulinganisha n BRT iliyopita, mradi huu unjengwa chini ya kiwango mno!
Sijui Watanzania nani katuroga!
 
Kichwa cha uzi kinajitosheleza, wahusika chukueni hatua mapema.
Zege lilotumika cement ni kidogo sana, limeanza kubomoka kabla ya matumizi.
Screws, bati na zile bars miaka miwili tu zitakua zishahalibika na kutu.
Nani achukue hatua Samia haahha hapo wataitwa watu stupid tu basi alaf imeisha hio
 
Endelea kusubiri mpaka vutakapoanza kazi baada ya kukabidhiwa kwa serikali ndipo uje kulalamika hapa!

Kama hata wewe umeona viashiria vy ubora dhaifu kwa kucheleweshwa kukamilika mradi unadhani ubora utakuwepo?

Hata kama sina elimu ya ujenzi kwa macho tu kwa kulinganisha n BRT iliyopita, mradi huu unjengwa chini ya kiwango mno!
Sijui Watanzania nani katuroga!
Umeielewa comment yangu mkuu![emoji848]
 
Kichwa cha uzi kinajitosheleza, wahusika chukueni hatua mapema.
Zege lilotumika cement ni kidogo sana, limeanza kubomoka kabla ya matumizi.
Screws, bati na zile bars miaka miwili tu zitakua zishahalibika na kutu.
tiss wamelala?

utawakuta bambalaga,kitambaa cheupe wanahombania madem.
 
Cjaona hoja yoyote hapo juu ,ikumbukwe kuwa izo Barabara ziko katika matumizi ya umma , Daladala na watu wanatumia
 
Kwa mtu asieelewa undani wa mambo anaweza kudhani upigaji bila hata kuhusisha environmental factors wakati wa ujenzi
 
Back
Top Bottom