johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Saa 4!Saa ngapi wanaanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa 4!Saa ngapi wanaanza?
Endelea kukariri bwashee!Wewe ni moja ya lile Kundi lililotoka na linalotaka Mama asiwepo nafasi alipo na asipewe uenyekiti johnthebaptist
Wewe ni moja ya lile Kundi lililotoka na linalotaka Mama asiwepo nafasi alipo na asipewe uenyekiti johnthebaptist
Hicho chama ndio kimeshikilia kula yako na amani yako ya kila siku, uamuzi mmoja tu mbovu tunageuka kuwa Libya, ni vyema kuwafuatilia mkuu hata kama huwapendi, na ukiwafuatilia utajua wanakosea wapi, hiyo itakuwezesha kuwakosoa ukiwa na facts mezani.Ila wewe jamaa una mentality ya ajabu sana...mtu mwenye shughuli zake kweli aanze tu kutazama tv kisa mambo ya chama.
Tanzania ina upuuzi mwingi sana sijapata kuona.
Msema kweli mpenzi wa Mungu!Hapa kazi tu ,mitano tena ,maendeleo hayana chama au nasema uongo ndugu zangu??
Kuanzia saa 4 lakini Channel ten na TBC wataanza mapema zaidi!Oya saa ngapi wanaonyesha
Ameshasahau hizo hekaya! Anajua kucheza na upepo !Hapa kazi tu ,mitano tena ,maendeleo hayana chama au nasema uongo ndugu zangu??
Ameshasahau hizo hekaya! Anajua kucheza na upepo !
UVIKO wave two !umeturudishia heshimaAcha tu mambo yamebadilika wacha KAZI IENDELEE.
Kazi Iendelee!Acha tu mambo yamebadilika wacha KAZI IENDELEE.
Labda nikuambie kutofuatilia haimaanishi siwapendi la hasha hata kidogo.Hicho chama ndio kimeshikilia kula yako na amani yako ya kila siku, uamuzi mmoja tu mbovu tunageuka kuwa Libya, ni vyema kuwafuatilia mkuu hata kama huwapendi, na ukiwafuatilia utajua wanakosea wapi, hiyo itakuwezesha kuwakosoa ukiwa na facts mezani.
Mimi nina kazi ya maana na ninawafuatilia.Labda nikuambie kutofuatilia haimaanishi siwapendi la hasha hata kidogo.
Ni kwamba kama huna kazi ya maana ndio utafuatilia..personally siwezi kufanya huo upuuzi..
Kazi Iendelee!Ameshasahau hizo hekaya! Anajua kucheza na upepo !
Bwashee Yoda natumai uko mubashara unafuatilia mkutano!Huyu johnthebaptist ni chawa wa chama zaidi. Hata Mbowe angekuwa mwenyekiti wa hiko chama bado angemshangilia na kumpamba kwa mbwembwe nyingi.
Jibu swali MATAGA TV gani ya nje inaonyesha?Bwashee Yoda natumai uko mubashara unafuatilia mkutano!
Hebu tusaidie huku, hizo TV za nje ni hizo kama mkuu alivyoandika? johnthebaptistLabda ile ya baa,inatundikwaga nje!!