umevimbiwa viporo vya Jana?Kwa jina la misaada, Hawa ndugu zetu wanaweza kupenyeza agenda Yao huko. Ni ushauri tu. Kama kweli hatuutaki ushoga vituo hivi vichunguzwe shughuli zao Kwa karibu. Na Aina ya misaada wanayopokea.
Funguka mkuu ulisaidie TaifaKwa jina la misaada, Hawa ndugu zetu wanaweza kupenyeza agenda Yao huko. Ni ushauri tu. Kama kweli hatuutaki ushoga vituo hivi vichunguzwe shughuli zao Kwa ukaribu Sana. Na Aina ya misaada wanayopokea, volunteers wanaofanya kazi humo.
Fungu litakata soon. Lazima mufuatiliwe. Na Mheshimiwa Waziri yupo humu JFKwa akili zenu nyie viswaswadu wa Tanganyika, hata ukiona sisimizi utasema katumwa kuleta ushoga.
Baada ya kuzaa matoto yenu na kuyatelekeza barabarani, sasa mmehamia kuwashambulia wanaowasitiri na kuwahifadhi.
Tumeshawaeleza humu, acheni kuzalisha matoto hovyo kama nguruwe, mnaleta tabu nchini.
Badala ya kuwaita watu mashoga ungefunga kwanza papuchi yako kwa kufuli ili utupunguzie mzigo mzito kwa taifa.