Salaam!
Nina gari aina ya Toyota Vitz 2NZ-FE(1.3L) 4WD ya mwaka 2000 ambayo nilinunua Show Room hivo sikujua kabisa kama ni 4WD mpaka nilipo google chasis number nkaona hilo gari huko beforward na kuona pia lina support 4WD.
Issue kubwa na hili gari ni ulaji wa mafuta ambao sikuwa nimeutegemea au nimeupigia hesabu kabla ya kununua gari,maana matarajio yangu nilitegemea icheze kwenye 13km/l on average na hii ni economical kabisa per day kulingana na umbali kuelekea kazini kwangu.
Kwa sasa inakula 7.5-8.2km/l na nilishaleta thread humu na nilizifanyia kazi recommendations zote ikiwemo kutumia 5w-30 oil viscosity lakini pia nilibadili spark plugs nakuweka zile zile nilizokuta kwenye gari i.e NGK plugs ambazo sio za sindano.
Pia nilipeleka gari likasafishwa Nozzels na air clearner ilikua mpya lakini ilisafishwa pia na mafundi wakanishauri ubadirishaji wa tabia za uendeshaji!
Baada ya marekebisho yote haya sijaona mabadiliko yoyote katika Ulaji wa mafuta.
Lakini katika kusoma soma mitandao nkaona huko mitandaoni watu wakisema kuwa ulaji wa mafuta Vitz za 4WD hauko economical ukilinganisha na zile za 2WD/FF.
Na baadhi ya wachangiaji wenye Vitz za hivo wakaonesha fuel economy yao inacheza hapo hapo kama yangu.
Na baadhi yao wakileta mjadala kuwa ukiondoa shaft ya 4WD basi fuel economy itakua vizuri zaidi wakati wengine wakisisitiza kabisa kuwa ukiondoa 4WD shaft kwa gari ambayo ilitengenezwa iwe 4WD maana yake gari itatumia nguvu zaidi na fuel economy itashuka zaidi.
Sasa mimi mpaka hapa nilipofikia nafikiri hili swala la 4WD ndo linafanya gari hili lisiwe na Fuel economy nzuri ila nataka mawazo yenu maana mimi sio mtaalamu wa haya magari na isitoshe sijui kama gari yangu shaft ya 4WD iko ON/OFF maana gari lilikua used from Japan.
Ila nataka kujua impact ya hiyo shaft kuwa ON/OFF vs Fuel economy.
Ikumbukwe uki google hili gari wanakuonesha fuel economy ni 6L/100Kms ambayo ni sawa na 16Km/L on average.
2000 Toyota Vitz, U Modification - all pics, specs, parts and prices
Natanguliza shukrani!
Nina gari aina ya Toyota Vitz 2NZ-FE(1.3L) 4WD ya mwaka 2000 ambayo nilinunua Show Room hivo sikujua kabisa kama ni 4WD mpaka nilipo google chasis number nkaona hilo gari huko beforward na kuona pia lina support 4WD.
Issue kubwa na hili gari ni ulaji wa mafuta ambao sikuwa nimeutegemea au nimeupigia hesabu kabla ya kununua gari,maana matarajio yangu nilitegemea icheze kwenye 13km/l on average na hii ni economical kabisa per day kulingana na umbali kuelekea kazini kwangu.
Kwa sasa inakula 7.5-8.2km/l na nilishaleta thread humu na nilizifanyia kazi recommendations zote ikiwemo kutumia 5w-30 oil viscosity lakini pia nilibadili spark plugs nakuweka zile zile nilizokuta kwenye gari i.e NGK plugs ambazo sio za sindano.
Pia nilipeleka gari likasafishwa Nozzels na air clearner ilikua mpya lakini ilisafishwa pia na mafundi wakanishauri ubadirishaji wa tabia za uendeshaji!
Baada ya marekebisho yote haya sijaona mabadiliko yoyote katika Ulaji wa mafuta.
Lakini katika kusoma soma mitandao nkaona huko mitandaoni watu wakisema kuwa ulaji wa mafuta Vitz za 4WD hauko economical ukilinganisha na zile za 2WD/FF.
Na baadhi ya wachangiaji wenye Vitz za hivo wakaonesha fuel economy yao inacheza hapo hapo kama yangu.
Na baadhi yao wakileta mjadala kuwa ukiondoa shaft ya 4WD basi fuel economy itakua vizuri zaidi wakati wengine wakisisitiza kabisa kuwa ukiondoa 4WD shaft kwa gari ambayo ilitengenezwa iwe 4WD maana yake gari itatumia nguvu zaidi na fuel economy itashuka zaidi.
Sasa mimi mpaka hapa nilipofikia nafikiri hili swala la 4WD ndo linafanya gari hili lisiwe na Fuel economy nzuri ila nataka mawazo yenu maana mimi sio mtaalamu wa haya magari na isitoshe sijui kama gari yangu shaft ya 4WD iko ON/OFF maana gari lilikua used from Japan.
Ila nataka kujua impact ya hiyo shaft kuwa ON/OFF vs Fuel economy.
Ikumbukwe uki google hili gari wanakuonesha fuel economy ni 6L/100Kms ambayo ni sawa na 16Km/L on average.
2000 Toyota Vitz, U Modification - all pics, specs, parts and prices
Natanguliza shukrani!