Yes bro na bado nipo nayo...naiheshimu sana..halaf kwenye barabara imetulia sana ni cc1500 ya mwaka 2002
Mkuu, kuna IST UA-NCP65 (4wd) ya mwaka 2002, CC 1500, mileage 81,686, ninasita sita kuiagiza kwa kuhofia umri wake kwamba itakuwa imezeeka sana. Kumbe niichukue tu eeh?
Cc: quake
Yes, this is true meaning of diff lock. Naona kaka pale juu kakosea kidogo. Diff lock ipo kwenye magari designed for offroad kama landcruiser hardtop. Gari nyingi za AWD na 4WD hazina diflock. Pia watu wanapaswa waelewe kuwa kuna tofauti ya 4WD na AWD, hiyo gari ya huyo jamaa itakuwa ni AWD na sio 4WD.unajua gari chache sana zna diff lock huwez niambia vitz au cami iekwe alafu kuna cruiser hazina diff lock ?? tofautisha tairi zote nne kusukuma gari ambapo hapo kuna tairi zngne zina slide yan kuna saa umekwama tairi zngne zinazunguka tu labda za kushoto ya mbele na nyuma afu nyingne zimetulia sasa diff lock ni kufanya ile nguvu ile transimited equaly yan hutaona tairi zina slide hapo ni kufanya zote zizunguke kwa pamoja
Hii ni factor kubwa sana. Gari yangu mimi highway naenda 12 KM/L ambapo wastani wa speed ni 75 -100kph. Lkn town trip average speed ikiwa ni 30-60kph natumia 9KM/LSorry kama nitakua nimechelewa kureply ila Kwa speed uliyosema unatembelea huo ulaji ni kawaida maana ukisoma vizuri user manual za magari kuna baadhi wanaonyesha kabisa consumption ya mafuta kutokana na gears utakazokua unatembelea mfano mm nina gari engine ni 1nzfe according to manual ukitembelea gear namba 1-2 consumption ni approx 8km/l ila 3-4 ni 15.6 km/l so kunauwezekano hio ikawa ndo tatizo..
Gari za kuanzia 2000 ndio ziko barabarani. Unavosema imezeeka mi nakuwa sikuelewi kabisa.Mkuu, kuna IST UA-NCP65 (4wd) ya mwaka 2002, CC 1500, mileage 81,686, ninasita sita kuiagiza kwa kuhofia umri wake kwamba itakuwa imezeeka sana. Kumbe niichukue tu eeh?
Cc: quake