yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 109
Ni hela nzuri lakini haitoshi kakamilioni 3 ipo fasta 0718151415
Mimi sio dalali kama unavyofikiriaDalali una njaa sana sio kwa bei hiyo
Ww unayenunua gari kwa kuangalia plate number ni hatari sana... Kama unaona bei kubwa piga simu kuna maelewano.... Haina haja ya kumwambia mtu sio mzima kisa anauza kitu chakeWewe sio mzima huwezi kuuza Vitz namba B milioni 5.2 wakati unaweza kupata Vitz namba D kwa hiyo hiyo hela na Mpya kabisa unaweza kupata kwa milioni 8.9
Tutuwasiliane kwa namba hapo juuweka bei ya kueleweka , achana na hizo story za kisukuma.
Mwanza unapatikana sehemu gani?Tutuwasiliane kwa namba hapo juu
DuWewe sio mzima huwezi kuuza Vitz namba B milioni 5.2 wakati unaweza kupata Vitz namba D kwa hiyo hiyo hela na Mpya kabisa unaweza kupata kwa milioni 8.9
DuuuDalali una njaa sana sio kwa bei hiyo
Nipo ilemela tuwasilianeMwanza unapatikana sehemu gani?
Mwanza unapatikana sehemu gani?
Hongera kwa kukaa dar mkuu..... Na ww ni mzaramo et?Mileage 130000 kwa 5,200,000/= duuh......
Haya mkuu subiri wasukuma wenzio waidondokee ila kwa sie wa huku dar hiyo haiuziki