the guy here i am
Member
- Nov 11, 2018
- 80
- 31
Milion 3.8
Cc 990
Year 1999
Mafuta petrol
Full ac
Ipo dar karibuni
0626 688 559
0747 583 182
Cc 990
Year 1999
Mafuta petrol
Full ac
Ipo dar karibuni
0626 688 559
0747 583 182
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milion 3800000
Milion tatu na laki nane ioo mkuu...soma vizuri......hii ni sawa na 3,800,000,000,000
bajet ya tz kwa miaka 200
baada ya ku edit, okayMilion tatu na laki nane ioo mkuu...soma vizuri
Picha nyingine hazifunguki! Zitupie upya basi kama vipi.Milion tatu na laki nane ioo mkuu...soma vizuri
Shukrani mkuu...unamaanisha 3.7 mil..au laki saba as laki 7Mie nina laki saba mkuu tunaweza kufanya biashara?
Hapanaaa mkuu ipo chini sanaaKuna mtu ana 2.8million, vipi nimshtue??
mbeya kinaweza kufika???Milion 3.8
Cc 990
Year 1999
Mafuta petrol
Full ac
Ipo dar karibuni
0626 688 559
0747 583 182
View attachment 1738470
Ndio kinafika.... vizurii tuu uzur kina tyre mpya kabisaambeya kinaweza kufika???
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Watanzania ni wa.senge sana, BDT ameimport nchini 2011 mwanzoni wakati huo kila kitu toka Japan hadi kuishika mkononi bongo haizidi milioni 5. Leo miaka 10 baadae anakomaa 3.8 kisa ni Vitz old model. Mtu katoa ofa ya 2.8 eti anakataa ofa kisa Vitz old model. Gari limeendeshwa bongo ten years anataka alipwe zaidi ya nusu ya ela aliyonunulia. Huu ndo u.senge wenyewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania ni wa.senge sana, BDT ameimport nchini 2011 mwanzoni wakati huo kila kitu toka Japan hadi kuishika mkononi bongo haizidi milioni 5. Leo miaka 10 baadae anakomaa 3.8 kisa ni Vitz old model. Mtu katoa ofa ya 2.8 eti anakataa ofa kisa Vitz old model. Gari limeendeshwa bongo ten years anataka alipwe zaidi ya nusu ya ela aliyonunulia. Huu ndo u.senge wenyewe...
Alitakiwa aigawe bure au auze laki 7Watanzania ni wa.senge sana, BDT ameimport nchini 2011 mwanzoni wakati huo kila kitu toka Japan hadi kuishika mkononi bongo haizidi milioni 5. Leo miaka 10 baadae anakomaa 3.8 kisa ni Vitz old model. Mtu katoa ofa ya 2.8 eti anakataa ofa kisa Vitz old model. Gari limeendeshwa bongo ten years anataka alipwe zaidi ya nusu ya ela aliyonunulia. Huu ndo u.senge wenyewe...
Mbona una hasira sana! Kwani ndani ya hiyo miaka 10 si gari ilikua inafanyiwa pia service! Sasa unategemea gharama ibakie kuwa ile ile! Halafu mbona thamani ya milioni 5 ya 2011, ni tofauti na milioni 5 ya 2021!Watanzania ni wa.senge sana, BDT ameimport nchini 2011 mwanzoni wakati huo kila kitu toka Japan hadi kuishika mkononi bongo haizidi milioni 5. Leo miaka 10 baadae anakomaa 3.8 kisa ni Vitz old model. Mtu katoa ofa ya 2.8 eti anakataa ofa kisa Vitz old model. Gari limeendeshwa bongo ten years anataka alipwe zaidi ya nusu ya ela aliyonunulia. Huu ndo u.senge wenyewe...
Poaa poaa mzee babaaMbona una hasira sana! Kwani ndani ya hiyo miaka 10 si gari ilikua inafanyiwa pia service! Sasa unategemea gharama ibakie kuwa ile ile! Halafu mbona thamani ya milioni 5 ya 2011, ni tofauti na milioni 5 ya 2021!
By the way, hii ni biashara huria! Hakuna aliye lazimishwa kununua. Kwa mfano hiyo Vits ingekua ni manual na imenyooka, binafsi ningeichukua kwa milioni 3 kama angekubali. Mambo ya miaka ya gari kuingia na bei ya kununulia, visingekuwa kipaumbele kwangu.
Duuh shukrani kwa feedbackWatanzania ni wa.senge sana, BDT ameimport nchini 2011 mwanzoni wakati huo kila kitu toka Japan hadi kuishika mkononi bongo haizidi milioni 5. Leo miaka 10 baadae anakomaa 3.8 kisa ni Vitz old model. Mtu katoa ofa ya 2.8 eti anakataa ofa kisa Vitz old model. Gari limeendeshwa bongo ten years anataka alipwe zaidi ya nusu ya ela aliyonunulia. Huu ndo u.senge wenyewe...