Ene_transporter
Member
- Jun 4, 2024
- 13
- 11
Taa zake hizo huoni yalivyo makubwaKwanini kameitwa Kijicho?
😂😂😂 nilijua utazingua na kukiponda kivitz kijicho cha watu.!!Jina lenyewe kijicho hapo ajali ni km 5 tuu mbele hapo, kwanza c unaona ipo kama kichwa cha kobe. Achana nalo.
Ah bc hata jina livutie, sasa kijicho ndio nn jamani. wewe huogopi.?😂😂😂 nilijua utazingua na kukiponda kivitz kijicho cha watu.!!
🤣🤣🤣 Ila linatisha hata ukimgonga nalo mtu hutoki, moja kwa moja segereaAh bc hata jina livutie, sasa kijicho ndio nn jamani. wewe huogopi.?
Kwanza traffic akikiona lazima akusimamishe ajue huyo dereva ni mzima au amekufa.🤣🤣🤣 Ila linatisha hata ukimgonga nalo mtu hutoki, moja kwa moja segerea
Kwanini kameitwa Kijicho?
Aisee 😂Taa zake hizo huoni yalivyo makubwa
Usajili wake ni number Gani?Vitz kijicho
Cc 990
Mafuta inanusa
Full ac
Hain kipengele gari imetunzwa sana
Dada anatak mil 6.5 maongezi yapo
0783610244
View attachment 3010537