Bila shuka
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 596
- 294
Wakuu naomba kujua kati ya izo gari mbili ....ipi ina ubora zaidi....? Kwa upande wa kula mafuta na usafiri wa umbali mrefu ...vilevile ni gari ipi inayo weza kudumu ...kwa mda mrefu......
Ni hayo tyu wakuu. ....wenye kujua wanijuvyeee
Vitz ndio mwisho wa matatizo,km una kahela ww tafuta kavitz ujiweke tu