Bila shuka
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 596
- 294
Wakuu naomba kujua kati ya izo gari mbili ....ipi ina ubora zaidi....? Kwa upande wa kula mafuta na usafiri wa umbali mrefu ...vilevile ni gari ipi inayo weza kudumu ...kwa mda mrefu......
Ni hayo tyu wakuu. ....wenye kujua wanijuvyeee
Nimegundua ww haupo kwa kujifunza hupo kwa ajili ya kubishana ujinga na upuuzi
unaniuliza maana ya recommendations kweli ? pia nataka kukwambia Google si source pekee ya information kama unaamini hvyo bhasi huko nyuma sana kwani Google ni search engine tu inakuletea chochote kinachoendana na kitu ulichokiuliza kiwe cha ukweli au uongo je sehemu ambazo hakuna Google kama China na Russia wanatumia nini kupata taarifa?
Hakuna pkpk ya hivyoMkuu kwaiyo mafuta yanalika sawa na pikipiki? i.e 1/100km
Uzuri umeomba radhi, ulitakiwa ufute kabisa huo ukakasi wako.It looks like this will be your first car. Huwezi kuwauliza watu wenye akili timamu kwamba vitz na starlet lipi ni gari zuri kununua. Wote waliokujibu wamejibu pumba. Ili upate jibu la uhakika lazima u-specify model ya gari na pengine engine size. Vitz ana models nyingi so is starlet. Kwa wanaojua magari vizuri, hata ukieleza year of manufacture anajua ni model ipi.
Sasa ukiwa specific to that extent, kwa wajuzi wa magari utakuwa umewatengenezea premises nzuri za kukushauri.
Samahani kwa kutumia lugha yenye ukakasi.
Ha ha haOyaaaa nunua vitz,weka mziki wa million na nusu,weka rimsport na tyre mpya,unaenda popote,Lita 32 unatembea kilometa 567.2,,,ukitoka dar tabora tank moja unusu fasta unatoboa kanyenye pale oxygen lounch unakula kuku choma. Vitz kwa mafuta utaona km unawaibia sheli ndugu,,starlet ya ki old old weka vitz tia mziki wa maana Masaa kumi upo tabora,kigoma baada ya masaa Kumi na sita unatoboa
kwa kauli hii ndio nimekuona kilaza kabisa na sito poteza time yangu kukujibu tenaUnalilia nini sasa
Umekuja na nondo zako za uongo badala ya kuzitetea unaanza kulia lia
Thibitisha 1/100 hata kama ni recommendations za hiyo sijui nini
kwa kauli hii ndio nimekuona kilaza kabisa na sito poteza time yangu kukujibu tena
"Unalilia nini sasa
Umekuja na nondo zako za uongo badala ya kuzitetea unaanza kulia lia"
Nimejibu maswali kama yako na kwenye thread hii zipo post zangu zaidi ya 15 nikielezea na kujibu kile ninachoulizwa na pia sijabadilisha kauli kwa kile ninachokiamini mm nimebaki na msimamo wangu ule ule wa standard ratio ya kmataifa kwa gari ndogo ni 1/100km pia nakwambia ww kuwa Google si sehemu pekee ya kupata taarifa usitegemee Google tu kuongeza maarifa na kupata information si kila kitu unakimbilia Google ukikikosa unarudi speed kuja kusema hicho kitu hakipo !!!! View attachment 466179View attachment 466179
View attachment 466180 View attachment 466181 Tazama hayo magari then angalia na ulaji wake wa mafuta nimekwambia matumizi au ulaji wa mafuta anapanga mtengenezaji kwa kuzingatia nguvu ya engine (HP) na kwa kiwango fulani cha speed (RPM) na nikasema magari ya ulaya ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana sasa nashindwa kuelewa mtu ananibishia kitu ninachokisomea then unabisha kisa umekuta hakipo Google !!!!!! Ukwaju tanzanite miner
mkuu temana nae,kumuelewesha chizi unajipa kazi.Unaweza kusoma usielewe pia, akili tunazaliwa nazo shule tunakwenda kupata maarifa si Akili kwani akili tunakwenda nazo hv unajua maana ya Ratio ? wanaposema tafiti zinasema kwa kila Wanzania 4 mmoja ni kichaa je swali nyumbani kwako mnaishi wangapi? kama ni zaid ya 4 je kuna kichaaa? au unapotembea siku nzima unakutana na watu wazima wangapi na vichaa wangapi je inalingana na ratio iliyotolewa?
Tumia akili ww ratio ni hyo hyo International Vehicle Standards (IVS) ndio wana recommend ratio hyo kwa magari madogo 1/100Km huku Heavy Duty Trucks ni 13.3/100Km na magari ya kati ni 10.7/100Km kama nilivyosema hapo mwanzo ulaji wa mafuta kwa gari unatokana na mapendekezo ya mtengenezaji kutokana na speed au nguvu inayotumika kwenye engine na ndo maana ulaji wa mafuta gari iliyotupu ni tofauti na gari yenye mizigo mfano ukiwa unaendesha baiskeli ukiwa peke yako nguvu utakayo tumia ni tofauti na ukiwa umepakiza mizigo au mtu mwingine pia ulaji wa mafuta auna mahusiano na Cc na Cylinders (horsepower) mfano kuna gari linaitwa Mazda rx8 ina Cc 1300 na 4 Cylinder lakini ulaji wake wa mafuta ni kama ina engine ya V8 lakini inakimbia zaidi ya Alteeza ikiwa na speed ya 239 km/h na inauwezo wa zero to 96.56 km/h in 6.3 seconds pamoja kuwa na Cc ndogo na horsepower au Cylinders 4
Magari mengi sana yanatumia mafuta mengi kutokana na watu kutokujua tu mfano magari ya ulaya yanatumia mafuta kidogo sana pamoja na kuwa na Cc kubwa watengenezaji wameweka matumizi ya umeme kuliko mafuta kwenye magari zipo sababu znazofanya magari kunywa mafuta sana ila watu wengi wakiona gari inakwenda bhasi wanaona ni sawa tu lakini zipo sababu nying sana nitakutolea chache
1 bad timing
2 bad sparkplugs
3 low octane fuel
4 malfunctioning coolant temperature sensor
5 blocked catalytic converter(s)
6 malfunctioning MAP/MAF sensors
7 driving with the parking brake engaged
8 having aftermarket wings on the car.
9 tyres not inflated to the recommended pressure
Kitu kingine ambacho nimekiona kwa wabongo wengi ni uendeshaji mbaya wa magari watu wengi si madereva wazuri hata ktk ubadilishaji wa gia tu utajua huyu si dereva hata gari ya automatic nayo inauendeshaji wake si ukiweka D basi
Soma na uelewe
Nilichokisema ni standard ratio kwa gari ndogo ni 1/100km sijazungumzia matumizi ya mafuta ya gari ambazo mtoa mada alisema pia nikasema swala la ulaji wa mafuta kwa gari inatokana au mwenye maamuzi ya kupanga ni mtengeneza gari mwenyewe kutokana na nguvu ya engine (HP) na kwa kiwango cha mwendo kasi(RPM) sikusema vitz inatumia 1/100km angalia post zangu zote kama nimesema hvyo!Mkuu kuna kitu umejichanganya ila haujajua. Mwanzo umezungumzia standard ni 1/100km, naamini ulikuwa unaamaanisha ni 1liter/100km na ndicho watu wanachokupinga.
Ila source uliyotuwekea inasema standard inapimwa kwa liter/100km. (l/100km). Ambapo kwa maana rahisi consumption ya gari ya mafuta inapimwa kuwa kwa 100km imetumia lita ngapi.
Mkuu naona toka mwanzo unajichanganya tu ila kuna kitu hukuelewa kwenye post zako. Ngoja nikueleweshe kwa lugha rahisi kama ni muungwana utakubali ulipokosea. Consuption ya mafuta inapimwa kwa kiwango cha mafuta kwa lita itachotumia chombo chako kwa umbali wa kilomita 100. Na hii inatofautiana kati ya urban na highway. Tofauti na wabongo tulivyozoea kwamba lita moja inatembea kilomita kadhaa. Hakuna kitu kama 1l/100km popote pale. Tofauti na hapo utatumia nguvu kubwa sana kuelewesha watu na mwishowe wasikubaliane na hoja zako.Nilichokisema ni standard ratio kwa gari ndogo ni 1/100km sijazungumzia matumizi ya mafuta ya gari ambazo mtoa mada alisema pia nikasema swala la ulaji wa mafuta kwa gari inatokana au mwenye maamuzi ya kupanga ni mtengeneza gari mwenyewe kutokana na nguvu ya engine (HP) na kwa kiwango cha mwendo kasi(RPM) sikusema vitz inatumia 1/100km angalia post zangu zote kama nimesema hvyo!
Sasa sijui tatizo ni maana ya ratio(uwiano) au tatizo ni recommandation(mapendekezo)
recommandation ratio ni 1/100km sasa unaposema mapendekezo si lazima mtu afate hvyo na wala si sheria kwa mtu kufanya hvyo ndio maana swala la ulaji wa mafuta linabaki mikononi wa mtengenezaji wa gari
Pia swala la ulaji wa mafuta kwenye magari tayali wameshalipatia ufumbuzi mm mwenyewe kuna mshikaji wangu yuko Malaysia kuna kifaa alinitumia unakiweka kwenye gari kinafanya kazi zaid ya 13 kwenye gari ikiwamo kupunguza ulaji wa mafuta kwenye gari kwa 30% so ninachokiongea nakijua na pia nimekiishi na mm nakitumia sasa mtu anapobisha tu kwa vile nikisemacho hakipo Google mm namwona Upeo wake ni mdogo sana kwa kudhani Google pekee ndio source ya Taarifa zoteee
Safi sana kiongozi hats Mimi sasa sins haja ya kuuliza nadhani nimepata elimu toosha kuhusu magariMkuu ratio ni hyo hyo International Vehicle Standards (IVS) ndio wana recommend ratio hyo kwa magari madogo 1/100Km huku Heavy Duty Trucks ni 13.3/100Km na magari ya kati ni 10.7/100Km kama nilivyosema hapo mwanzo ulaji wa mafuta kwa gari unatokana na mapendekezo ya mtengenezaji kutokana na speed au nguvu inayotumika kwenye engine na ndo maana ulaji wa mafuta gari iliyotupu ni tofauti na gari yenye mizigo mfano ukiwa unaendesha baiskeli ukiwa peke yako nguvu utakayo tumia ni tofauti na ukiwa umepakiza mizigo au mtu mwingine pia ulaji wa mafuta auna mahusiano na Cc na Cylinders (horsepower) mfano kuna gari linaitwa Mazda rx8 ina Cc 1300 na 4 Cylinder lakini ulaji wake wa mafuta ni kama ina engine ya V8 lakini inakimbia zaidi ya Alteeza ikiwa na speed ya 239 km/h na inauwezo wa zero to 96.56 km/h in 6.3 seconds pamoja kuwa na Cc ndogo na horsepower au Cylinders 4
Magari mengi sana yanatumia mafuta mengi kutokana na watu kutokujua tu mfano magari ya ulaya yanatumia mafuta kidogo sana pamoja na kuwa na Cc kubwa watengenezaji wameweka matumizi ya umeme kuliko mafuta kwenye magari zipo sababu znazofanya magari kunywa mafuta sana ila watu wengi wakiona gari inakwenda bhasi wanaona ni sawa tu lakini zipo sababu nying sana nitakutolea chache
1 bad timing
2 bad sparkplugs
3 low octane fuel
4 malfunctioning coolant temperature sensor
5 blocked catalytic converter(s)
6 malfunctioning MAP/MAF sensors
7 driving with the parking brake engaged
8 having aftermarket wings on the car.
9 tyres not inflated to the recommended pressure
Kitu kingine ambacho nimekiona kwa wabongo wengi ni uendeshaji mbaya wa magari watu wengi si madereva wazuri hata ktk ubadilishaji wa gia tu utajua huyu si dereva hata gari ya automatic nayo inauendeshaji wake si ukiweka D basi
foolishUzuri umeomba radhi, ulitakiwa ufute kabisa huo ukakasi wako.
Muuliza swali yuko clear, kati ya vits na starlet, ipi gari bora?
Kwa maoni yangu, kwa anayejifunza kumiliki gari, starlet iko poa. Haina magonjwa, bodi imara na spare part zake zipo za kutosha.
Vitz ni mayai flani, za kisasa hivi
Mkuu naona hujaelewa kwanini watu wengi mnashindwa kulewana hapo juu,hapa kwetu wengi tumezoea kwamba Lita 1 inakwenda km...so and so,sasa wewe umeweka maelezo yako interms of ratio kuwa ni 1/100 hapo mtabishana mpaka asubihi.Na kama hiyo ratio yako ulioweka ya 1/100 ina maana ya lita 1 inatembea km 100 basi hata mimi sikubaliani na wewe.kwa hyo ww source yako kubwa ni Google je kama sehemu zingine hakuna Google wanatoa wapi taarifa? pia siwezi kumjibu mtu kwa staha wakati ww unaleta dharau nani unamwita Dogo je unajua umri wangu ? kitu kama uelewi si unauliza unaeleshwa nimekuekewesha sasa kukubali au kukataa ni kazi yako si yangu
Mkuu nakuomba ukipata muda anzisha uzi kwa ajiliMkuu ratio ni hyo hyo International Vehicle Standards (IVS) ndio wana recommend ratio hyo kwa magari madogo 1/100Km huku Heavy Duty Trucks ni 13.3/100Km na magari ya kati ni 10.7/100Km kama nilivyosema hapo mwanzo ulaji wa mafuta kwa gari unatokana na mapendekezo ya mtengenezaji kutokana na speed au nguvu inayotumika kwenye engine na ndo maana ulaji wa mafuta gari iliyotupu ni tofauti na gari yenye mizigo mfano ukiwa unaendesha baiskeli ukiwa peke yako nguvu utakayo tumia ni tofauti na ukiwa umepakiza mizigo au mtu mwingine pia ulaji wa mafuta auna mahusiano na Cc na Cylinders (horsepower) mfano kuna gari linaitwa Mazda rx8 ina Cc 1300 na 4 Cylinder lakini ulaji wake wa mafuta ni kama ina engine ya V8 lakini inakimbia zaidi ya Alteeza ikiwa na speed ya 239 km/h na inauwezo wa zero to 96.56 km/h in 6.3 seconds pamoja kuwa na Cc ndogo na horsepower au Cylinders 4
Magari mengi sana yanatumia mafuta mengi kutokana na watu kutokujua tu mfano magari ya ulaya yanatumia mafuta kidogo sana pamoja na kuwa na Cc kubwa watengenezaji wameweka matumizi ya umeme kuliko mafuta kwenye magari zipo sababu znazofanya magari kunywa mafuta sana ila watu wengi wakiona gari inakwenda bhasi wanaona ni sawa tu lakini zipo sababu nying sana nitakutolea chache
1 bad timing
2 bad sparkplugs
3 low octane fuel
4 malfunctioning coolant temperature sensor
5 blocked catalytic converter(s)
6 malfunctioning MAP/MAF sensors
7 driving with the parking brake engaged
8 having aftermarket wings on the car.
9 tyres not inflated to the recommended pressure
Kitu kingine ambacho nimekiona kwa wabongo wengi ni uendeshaji mbaya wa magari watu wengi si madereva wazuri hata ktk ubadilishaji wa gia tu utajua huyu si dereva hata gari ya automatic nayo inauendeshaji wake si ukiweka D basi
Mm mjadala huu nilishaufunga siwezi kuwa nafanya kazi ya kuwaelewesha utadhani watoto humu kuna post zangu zaid ya 15 kama umesoma zote unaweza kujua nilikuwa namaanisha ninihivi ww izzo akili yako inafanya kazi vizuri ratio ya gari kubwa kwenda 13km kwa lita utazan ist umeonea wap?? au lita moja kwa km 100 umesoma kwenye kitabu gani ??? hivi unawezaje lishauri gari sijui kupendekeza liende km kazaa kwa lita flani et recommended ...em na ww i recommend piki piki yenu iende 200km kwa nusu lita
Ebu punguza utani katika hili.... kamwe huwezi fananisha vitz na ist... ist ni gar moja tamu sana yan kuifananisha na vitz ni matusi makubwa... lile jiko la vvti lililofungwa kwenye vitz lina mashetani sana.. huwa linawah kuua cylinder headvitz ndo nzuri kwa mimi ninavyoona as ukizingatia starlet ni magari ya zamani sana mara ya mwisho kutengenezwa na kuwa in production ni 1999 ....vitz ni gari nzuri sana huwezi compare vitz na hawa kina IST sijui kina porte,sienta,passo nk vitz ni gari ngumu sana haswa zile za kwanza kabisa baada ya kusitishwa starlet namaanisha za 1999-2005 japo hata hizi generation ya pili ni nzuri kiumbo ziko vizur sana kwanzia mfumo wa uingizwaji mafuta na uchomaji ni tofauti na mzuri nikimaanisha hata za petroli hasisumbui mafuta na kwa wale wasio na haraka kuna ya diesel ni nzuri sana japo sijajua ubora wake maana injin za diesel huwaga zinasumbua kiasi
vitz ya diesel highway ukiwa na spidi kati ya 80-90 inakula lita 1 kwa kila 24km
Mkuu tofaitisha kati ya I/100km na 1/100km I/100km= L/100km na 1/100km = 1L/ 100km.Mm mjadala huu nilishaufunga siwezi kuwa nafanya kazi ya kuwaelewesha utadhani watoto humu kuna post zangu zaid ya 15 kama umesoma zote unaweza kujua nilikuwa namaanisha nini