Vitz vs starlet

Mm mjadala huu nilishaufunga siwezi kuwa nafanya kazi ya kuwaelewesha utadhani watoto humu kuna post zangu zaid ya 15 kama umesoma zote unaweza kujua nilikuwa namaanisha nini
nikikuita Dogo unachukia
unajiita wa Elimu ya kuzaliwa
haya MKUU hakuna mahali walipoandika 1/100
ila wameandika l/100 maana yake mahesabu yote ya matumizi wanayapiga kwa kilomota 1-- au maili 100 kwa lita (iwe moja au 5.6 ai 12.0)
nashukuru tumejua elimu yako na ni wapi palipokutatiza
kumbe herufi L wewe unaisoma km 1

 
Gari ndogo inayoenda 1lt/100km ni ipi hio mkuu?
 
Mkuu glanza ina CC1800 ?
 
Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…