Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
- Thread starter
-
- #21
Uzidi kubariki Nafurahi japo mwanga nauona iwe ni kwa fiction au fact kuna kitu ni bora kukijua hata kama wanadhani ni vya uongo.Mabaki yake hayajapatikana Ulaya au Nchi za magharibi tu, yamepatikana pia China na Afrika.
Hata hapa kwetu yaligunduliwa Lindi na yapo museum Ujerumani.
Kuna wakati Zakhia Mehgji akiwa Waziri wa maliasili na utalii alitaka kuanzisha mkakati wa kuyarudisha lakini tatizo ikawa fedha za kuyahifadhi.
Asante sana anaendelea kukazwa atajifunza kutokana na hii thread ila hawezi kuja kusema
Kwa mujibu wa wanasayansi waliojikita kwa dinosaurs wamesema dinasours walikuwa wanataga na ilikuwa inachukuwa muda mrefu kwa mayai kutotoa
Mbona hushangai mamba ,Kobe kutaga
Dinosaur kama reptile wengine yeye alikuwa anataga kama vile nyoka ,mamba nk
Wanasayansi
duh! kweli elimu kitaa tunakinzanaOna sasa ulivyo danganywa na wew bila kufikiria unaanza kusadiki ili ukadanganye wenzio tangu lini mnyama akataga mayai?
Makosa ya uchapaji mkuu... Asante kwa umakiniKukua => Kujua
Kazoea kula mayai ya wachina kila kinachotaga anajua ni kukuduh! kweli elimu kitaa tunakinzana
Dinasour
Nguva
Aliens
Popo bawa
Wametungwa wote
Kiumbe kimekufa million 200 iliyopita wanavyodai lakini wanatuchorea mchoro wa dinasour alivyokuwa ,umbile lake lote .
Wanatuonyesha Aina za dinasours na wamewa categorize kwa makundi mbali mbali
Aina ya chakula walizokuwa wanakula
Idadi ya mayai waliyokuwa wanataga na life style yao kiujumla
Yaani kiumbe kimeondoka ulimwenguni 200million iliyopita wanavyodai walijuaje hayo yote kama siyo kutufunga kamba?.
Mkuu angalia hii documentary yote lakini kuhusu Dinosaurs angalia kwanzia dakika ya 27 hadi 32 hivi.Mkuu elezea kidogo juu ya hawa viumbe kama kweli wapo au ni hisia za wazungu !!
Ni kweli Dinosaurs walikuwepo, na fossils zimepatikana hadi hapa TZ. Na unaweza kujua diet ya mnyama/kiumbe yoyote kwa kuangalia meno tu. Jaribu kuchimba kidogo utapata majibuDinasour
Nguva
Aliens
Popo bawa
Wametungwa wote
Kiumbe kimekufa million 200 iliyopita wanavyodai lakini wanatuchorea mchoro wa dinasour alivyokuwa ,umbile lake lote .
Wanatuonyesha Aina za dinasours na wamewa categorize kwa makundi mbali mbali
Aina ya chakula walizokuwa wanakula
Idadi ya mayai waliyokuwa wanataga na life style yao kiujumla
Yaani kiumbe kimeondoka ulimwenguni 200million iliyopita wanavyodai walijuaje hayo yote kama siyo kutufunga kamba?.
Dinosaurs walikuwa reptiles. Na reptiles wengi wanataga mayai. Kuna exception ya baadhi ya reptiles kama baadhi ya Vipers ambao wanazaa watoto hai.Ona sasa ulivyo danganywa na wew bila kufikiria unaanza kusadiki ili ukadanganye wenzio tangu lini mnyama akataga mayai?
Mkuu haifunguki hebu jaribu ku-attach upya samahani lakini au naona link nipakuweMkuu angalia hii documentary yote lakini kuhusu Dinosaurs angalia kwanzia dakika ya 27 hadi 32 hivi.
Haya mambo yalikuwepo kweli.
Maendeleo ya binadamu (pamoja na uandishi) yalianza miaka kama 6000 hadi 8000 iliyopita. Na walidocument vilivyopo, hawakuhangaika na historia.Hapa ndipo wafia dini wanapokosa pumzi maana wanaamini uhai uliletwa duniani miaka chini ya elfu kumi iliyopita ilihali sayansi inasema uhai upo duniani mamia ya mamilioni ya miaka iliyopita.
Acha watalaam wafanye yao!!! Najua Waafrika tu wagumu wa kuelewa mambo ya sayansi na teknolojia, mpaka uone kwa macho ndo uamini!!!!! Hata ujio wa simu watu walikuwa hawaanin kuwa unaweza kuongea na mtu aliyeko mbali/kumwona life. Kugundua kuwa huyu mtoto baba au mama yake ni fulan!!!! Kama haya unayaamini kuwa ni sahihi na yanafanywa na wanasanyansi, badi hata hili uamini!!!!!Dinasour
Nguva
Aliens
Popo bawa
Wametungwa wote
Kiumbe kimekufa million 200 iliyopita wanavyodai lakini wanatuchorea mchoro wa dinasour alivyokuwa ,umbile lake lote .
Wanatuonyesha Aina za dinasours na wamewa categorize kwa makundi mbali mbali
Aina ya chakula walizokuwa wanakula
Idadi ya mayai waliyokuwa wanataga na life style yao kiujumla
Yaani kiumbe kimeondoka ulimwenguni 200million iliyopita wanavyodai walijuaje hayo yote kama siyo kutufunga kamba?.
Documents za dini zinadai kuwa zimetoka kwa Mungu mwenyewe nayejua mambo yaliyopita, yaliyopo na yajayo. Kama Mungu ndiye aliyewaambia warekodi hizo documents, mbona waliacha mambo mengi muhimu ambayo sayansi ndiyo iliyokuja kuyachimba?Maendeleo ya binadamu (pamoja na uandishi) yalianza miaka kama 6000 hadi 8000 iliyopita. Na walidocument vilivyopo, hawakuhangaika na historia.
Sawa kabisa...... Mambo ya uchunguzi muda mwingi hutia watu uvivu ila wanaofanya hadi tamati huja na majibu mazuri sana.Acha watalaam wafanye yao!!! Najua Waafrika tu wagumu wa kuelewa mambo ya sayansi na teknolojia, mpaka uone kwa macho ndo uamini!!!!! Hata ujio wa simu watu walikuwa hawaanin kuwa unaweza kuongea na mtu aliyeko mbali/kumwona life. Kugundua kuwa huyu mtoto baba au mama yake ni fulan!!!! Kama haya unayaamini kuwa ni sahihi na yanafanywa na wanasanyansi, badi hata hili uamini!!!!!
Nenda you tube search....from the big bang to the present days.Mkuu haifunguki hebu jaribu ku-attach upya samahani lakini au naona link nipakuwe
Nipo safarini kwenda huko Asante sanaNenda you tube search....from the big bang to the present days.
Acheni wazungu wawe wazungu nimeangalia dakika ya 27-30 naona sijakosea na nafurahi kuanza kujua hawa viumbeNenda you tube search....from the big bang to the present days.
Ukiwa na muda wa utulivu iangalie yote, inatoa mwangaza mkubwa sana kujua ni namna gani mambo mengi kama serikali, uhai, majeshi, vita, kilimo na shughuli nyinginezo za kibinadamu zilivyoanza.Acheni wazungu wawe wazungu nimeangalia dakika ya 27-30 naona sijakosea na nafurahi kuanza kujua hawa viumbe