Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Katika wazawaza yangu hakika najua viumbe kama pepo na malaika wanaona binadamu ni kituko sana.
Sababu kila kitu kapewa ila anafanya ujinga mtupu mara kakimbizwa na mbwa akilewa aseme ujinga, aige na kufanya michezo hatarishi.
Halafu sielewii wale malaika ambao wali tamani wana za binadamu ilikuwaje wakati inasemekana wao ni wazuri kutuzidi.
Kingine, kiumbe kinatenga 1hr kujichezea nyeti na kugugumia hahahah, wanapata raha sana wanaotutazama. Kingine wakuu kunawale wa kutuma na yakutolea demu haji ghetto inaliwa.
Na wale wa chabo kwenye madirisha, na hawa wa kukanyaga mafuta mpaka wanateleza na kukanyagana. Kingine wakuu, eti shetani nasikia ni handsome kuliko sisi.
Hapo vipi?
Sababu kila kitu kapewa ila anafanya ujinga mtupu mara kakimbizwa na mbwa akilewa aseme ujinga, aige na kufanya michezo hatarishi.
Halafu sielewii wale malaika ambao wali tamani wana za binadamu ilikuwaje wakati inasemekana wao ni wazuri kutuzidi.
Kingine, kiumbe kinatenga 1hr kujichezea nyeti na kugugumia hahahah, wanapata raha sana wanaotutazama. Kingine wakuu kunawale wa kutuma na yakutolea demu haji ghetto inaliwa.
Na wale wa chabo kwenye madirisha, na hawa wa kukanyaga mafuta mpaka wanateleza na kukanyagana. Kingine wakuu, eti shetani nasikia ni handsome kuliko sisi.
Hapo vipi?