Viumbe vingine vinaona binadamu ni kituko

Viumbe vingine vinaona binadamu ni kituko

Katika wazawaza yangu hakika na jua viumbe kama pepo na malaika wanaona binadamu ni kituko sana

Sababu kila kitu kapewa ila anafanya ujinga mtupu mara kakimbizwa na mbwa akilewa aseme ujinga aige na kufanya michezo hatarishii

Alafu sielewii wale malaika ambao wali tamani wana za binadamu ilikuwaje wakati inasemekana wao ni wazuri kutuzidi

Kingine kiumbe kinatenga 1hr kujichezea nyeti na
kugugumia hahahah wanapata raha sana wanaotutazama


Kingine wakuu et shetani nasikia ni handsome kuliko sisi


Hapo vipi
,🤔😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😤😤😤😤🤔🤔🤔
 
Nawaza tu siku moja initokee live kama zile story za majini handsome anipende afu awe ananipa hela😃😃😃😃😃 yaan eti nimelala tu kitandani naamka nakuta kitita cha pesa iko apo, mpenzi wangu mzuuuuriii kuliko viumbe wote ako pembeni yangu muda wote afu hachepuki, nisipate shida yoyote darling huyu hapa, mara tunaenda kwao katikati ya bahari tunasalimia tunarudi 🤣🤣🤣🤣
 
Nawaza tu siku moja initokee live kama zile story za majini handsome anipende afu awe ananipa hela😃😃😃😃😃 yaan eti nimelala tu kitandani naamka nakuta kitita cha pesa iko apo, mpenzi wangu mzuuuuriii kuliko viumbe wote ako pembeni yangu muda wote afu hachepuki, nisipate shida yoyote darling huyu hapa, mara tunaenda kwao katikati ya bahari tunasalimia tunarudi 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Aaa kweli umefikiria parefu
 
Malaika wanaanzaje kutuona wajinga wakati hata njaa tu hawajawahi kui experience?

Kiumbe ambacho muda wote kimeshiba kitapata wapi SI Unit ya kujua ujinga wa mtu?

Hivi kwa mfano huyo Mungu wao akawaambia kuanzia leo mtahisi njaa na mtakuwa mkipata choo kigumu halafu akawakata na yale mabawa wawe wanatembea kwa ngoko

Kumbuka hapo ni njaa tu bila stress za madeni

daa bro kama ni mbususu umeipiga midole,yaan you nailed it!
umemjib sawa sawa na akil yke.mi mwenyw nimetoka kushusha kmoja coz of stress!
 
Katika wazawaza yangu hakika najua viumbe kama pepo na malaika wanaona binadamu ni kituko sana.

Sababu kila kitu kapewa ila anafanya ujinga mtupu mara kakimbizwa na mbwa akilewa aseme ujinga, aige na kufanya michezo hatarishi.

Halafu sielewii wale malaika ambao wali tamani wana za binadamu ilikuwaje wakati inasemekana wao ni wazuri kutuzidi.

Kingine, kiumbe kinatenga 1hr kujichezea nyeti na kugugumia hahahah, wanapata raha sana wanaotutazama. Kingine wakuu kunawale wa kutuma na yakutolea demu haji ghetto inaliwa.

Na wale wa chabo kwenye madirisha, na hawa wa kukanyaga mafuta mpaka wanateleza na kukanyagana. Kingine wakuu, eti shetani nasikia ni handsome kuliko sisi.

Hapo vipi?
Mtu anaiba kuku tunapiga mpaka tunaua ila jitu linazoa mabilioni mahala na anasema ni vijisent wala hatuna habari nae na akikohoa kila mtu anajamba! Lazima watushangae!


Hawawezi amini sigara sisi wenyewe tumezihakikisha ni hatari kwa afya na wazi wazi tunazitangaza na tangazo la hatari na bado ndio zimeshikilia uchumi wa nchi


Jitu linaacha mke, lina piga punyeto na malaya linanunua kwanini wasituone vituko


Kwanini wasituone vituko pale anapotokea mtu kutupambania kwa haki na tunamfelisha makusudi na wala c kwa maslahi yake binafsi


Unanunua kagari hujawahi hata kuzurula nacho town, unapakia familia nzima unaenda kushindana na malori barabarani, kwanza hao malaika mbali ya kukuona kituko, watawachukua familia yako yote ili wasiendelee kushuhudia hivyo vituko vyako



Tumesha laanika, sehemu sahihi na halali kutumika ipo na watu wanaruka ukuta hao malaika wakuangalie na wasikuone kituko na walio endelea wanaidhinisha kua ni halali


Mchungaji wa watu kajisemea ukweli ambao hata baadhi ya wachungaji wengine walisha jisemeaga tena bila aibu mna mpiga chini sio vituko

Kuna meeengi yanayofanya tuonekane vituko mbali na kutuona vilaza

Tuna laana lazima watuone vituko
 
Sio vibaya kuwaza hata ujinga. Umekuwa kama mimi wakati nikiwa mdogo nilikuwa nawaza hiv ninan alitupasua matako? Ujinga ujinga tu.
 
Mtu anaiba kuku tunapiga mpaka tunaua ila jitu linazoa mabilioni mahala na anasema ni vijisent wala hatuna habari nae na akikohoa kila mtu anajamba! Lazima watushangae!


Hawawezi amini sigara sisi wenyewe tumezihakikisha ni hatari kwa afya na wazi wazi tunazitangaza na tangazo la hatari na bado ndio zimeshikilia uchumi wa nchi


Jitu linaacha mke, lina piga punyeto na malaya linanunua kwanini wasituone vituko


Kwanini wasituone vituko pale anapotokea mtu kutupambania kwa haki na tunamfelisha makusudi na wala c kwa maslahi yake binafsi


Unanunua kagari hujawahi hata kuzurula nacho town, unapakia familia nzima unaenda kushindana na malori barabarani, kwanza hao malaika mbali ya kukuona kituko, watawachukua familia yako yote ili wasiendelee kushuhudia hivyo vituko vyako



Tumesha laanika, sehemu sahihi na halali kutumika ipo na watu wanaruka ukuta hao malaika wakuangalie na wasikuone kituko na walio endelea wanaidhinisha kua ni halali


Mchungaji wa watu kajisemea ukweli ambao hata baadhi ya wachungaji wengine walisha jisemeaga tena bila aibu mna mpiga chini sio vituko

Kuna meeengi yanayofanya tuonekane vituko mbali na kutuona vilaza

Tuna laana lazima watuone vituko
Kwakweli
 
Back
Top Bottom