Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
,π€πππππππππππ€π€π€π€π€π€π€Katika wazawaza yangu hakika na jua viumbe kama pepo na malaika wanaona binadamu ni kituko sana
Sababu kila kitu kapewa ila anafanya ujinga mtupu mara kakimbizwa na mbwa akilewa aseme ujinga aige na kufanya michezo hatarishii
Alafu sielewii wale malaika ambao wali tamani wana za binadamu ilikuwaje wakati inasemekana wao ni wazuri kutuzidi
Kingine kiumbe kinatenga 1hr kujichezea nyeti na
kugugumia hahahah wanapata raha sana wanaotutazama
Kingine wakuu et shetani nasikia ni handsome kuliko sisi
Hapo vipi
Karibu kwa contribution,π€πππππππππππ€π€π€π€π€π€π€
πππ Aaa kweli umefikiria parefuNawaza tu siku moja initokee live kama zile story za majini handsome anipende afu awe ananipa helaπππππ yaan eti nimelala tu kitandani naamka nakuta kitita cha pesa iko apo, mpenzi wangu mzuuuuriii kuliko viumbe wote ako pembeni yangu muda wote afu hachepuki, nisipate shida yoyote darling huyu hapa, mara tunaenda kwao katikati ya bahari tunasalimia tunarudi π€£π€£π€£π€£
Malaika wanaanzaje kutuona wajinga wakati hata njaa tu hawajawahi kui experience?
Kiumbe ambacho muda wote kimeshiba kitapata wapi SI Unit ya kujua ujinga wa mtu?
Hivi kwa mfano huyo Mungu wao akawaambia kuanzia leo mtahisi njaa na mtakuwa mkipata choo kigumu halafu akawakata na yale mabawa wawe wanatembea kwa ngoko
Kumbuka hapo ni njaa tu bila stress za madeni
Mtu anaiba kuku tunapiga mpaka tunaua ila jitu linazoa mabilioni mahala na anasema ni vijisent wala hatuna habari nae na akikohoa kila mtu anajamba! Lazima watushangae!Katika wazawaza yangu hakika najua viumbe kama pepo na malaika wanaona binadamu ni kituko sana.
Sababu kila kitu kapewa ila anafanya ujinga mtupu mara kakimbizwa na mbwa akilewa aseme ujinga, aige na kufanya michezo hatarishi.
Halafu sielewii wale malaika ambao wali tamani wana za binadamu ilikuwaje wakati inasemekana wao ni wazuri kutuzidi.
Kingine, kiumbe kinatenga 1hr kujichezea nyeti na kugugumia hahahah, wanapata raha sana wanaotutazama. Kingine wakuu kunawale wa kutuma na yakutolea demu haji ghetto inaliwa.
Na wale wa chabo kwenye madirisha, na hawa wa kukanyaga mafuta mpaka wanateleza na kukanyagana. Kingine wakuu, eti shetani nasikia ni handsome kuliko sisi.
Hapo vipi?
EeeeSio vibaya kuwaza hata ujinga. Umekuwa kama mimi wakati nikiwa mdogo nilikuwa nawaza hiv ninan alitupasua matako? Ujinga ujinga tu.
KwakweliMtu anaiba kuku tunapiga mpaka tunaua ila jitu linazoa mabilioni mahala na anasema ni vijisent wala hatuna habari nae na akikohoa kila mtu anajamba! Lazima watushangae!
Hawawezi amini sigara sisi wenyewe tumezihakikisha ni hatari kwa afya na wazi wazi tunazitangaza na tangazo la hatari na bado ndio zimeshikilia uchumi wa nchi
Jitu linaacha mke, lina piga punyeto na malaya linanunua kwanini wasituone vituko
Kwanini wasituone vituko pale anapotokea mtu kutupambania kwa haki na tunamfelisha makusudi na wala c kwa maslahi yake binafsi
Unanunua kagari hujawahi hata kuzurula nacho town, unapakia familia nzima unaenda kushindana na malori barabarani, kwanza hao malaika mbali ya kukuona kituko, watawachukua familia yako yote ili wasiendelee kushuhudia hivyo vituko vyako
Tumesha laanika, sehemu sahihi na halali kutumika ipo na watu wanaruka ukuta hao malaika wakuangalie na wasikuone kituko na walio endelea wanaidhinisha kua ni halali
Mchungaji wa watu kajisemea ukweli ambao hata baadhi ya wachungaji wengine walisha jisemeaga tena bila aibu mna mpiga chini sio vituko
Kuna meeengi yanayofanya tuonekane vituko mbali na kutuona vilaza
Tuna laana lazima watuone vituko
Sisi ni kwikwiKwakweli
Maana ya kufuga ni nini kama sio kupata msosiSisi ni kwikwi
- unachunga kondoo na wewe unawala humohumo