Viumbe wa ajabu waacha michoro kwenye pyramid

Viumbe wa ajabu waacha michoro kwenye pyramid

Culture...
Unanichekesha.
Ujana ni kama moshi.

Ghafla umeondoka umeingia uzee.
Huwa nacheka sana hapa Barzani kuna watu huwa wananiita ''hili zee...''

Mzee Mohamed mimi binafsi kama mwalimu wa historia nimepanga kukutafuta na kupata simulizi mbalimbali kutoka kwakk moja kwa moja na napenda nikutaarifu umenifanya niwe naangalia TBC [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee Mohamed mimi binafsi kama mwalimu wa historia nimepanga kukutafuta na kupata simulizi mbalimbali kutoka kwakk moja kwa moja na napenda nikutaarifu umenifanya niwe naangalia TBC [emoji23][emoji23][emoji23]
Dudu...
Nashukuru sana.

Kuna kipindi nimefanya, "Hamza Kassongo on Sunday," ETV kitarushwa In Shaa Allah Jumapili ijayo saa tatu usiku, "Mchakato wa Uhuru."

Kipindi cha saa nzima tunazungumza historia ya kujikomboa kuanzia African Association 1929 hadi kuundwa kwa TANU 1954.

Utapata fursa ya kusikia historia ya wazalendo ambao hawafahamiki sana katika historia ya uhuru wa Tanganyika kama Hamza Kibwana Mwapachu, Rashid Ali Meli, Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange na Rashid Kheri Baghdelleh, Chief David Kidaha Makwaia, Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Hawa bint Maftah, Earle Seaton, Schneider Plantan na wengine wengi.
20201222_164230.jpg
 
Black...
Firaun amehifadhiwa Egyptian Museum Cairo na zaidi ya miaka 5000 toka alipokufamaji.
Yeye alijiita Mungu kwa kusema, ''Mimi ndiye Mungu wenu mkuu.''

Allah akasema kuwa amemuhifadhi ili ulimwengu umuone na umshuhudie kuwa yeye si Mungu.

Mimi nilifika Egyptian Museum kumuona Firauni lakini ile ''chamber,'' ilikuwa imefungwa walikuwa kwa wakati ule wamezuia kumuona, ''Mungu.''
Mzee said Mohamed Said mummification ni kitu gani?
 
Hao Egyptian walikuwa na maarifa makubwa sana ambapo mpaka leo bado wanasayansi wanakuna kichwa

Kama waliochora walikuwa sio binadamu je walikuwa kina nani wenye akili zaidi ya mwanadamu?
Pyramids ziliumbwa?
Kama michoro ipo kwenye pyramids kabla binadamu hajawepo duniani
 
Mzee,
Kuhifadhi mwili wa mtu aliyekufa.
Ingia Google utapata habari zaidi.
Basi nilifikiri hiyo ndio teknolojia ilitumika kumuhifadhi firauni na si laana kama inavyoandikwa
 
Pyramids ziliumbwa?
Kama michoro ipo kwenye pyramids kabla binadamu hajawepo duniani

Hazijaumbwa bali zilitengenezwa kama walivyochora
Binadamu walikuwepo zama na zama ila wazungu wamekuaminisha hivyo kuwa ni viumbe wengine
 
Hazijaumbwa bali zilitengenezwa kama walivyochora
Binadamu walikuwepo zama na zama ila wazungu wamekuaminisha hivyo kuwa ni viumbe wengine
Mtoa post anasema hiyo michoro imekuwepo hapo kabla binadamu hajakanyaga ardhi ya dunia ndiyo nauliza hizo pyramid ziliumbwa?
 
Kwenye hiyo picha ya kwenye pyramid, nimeona alama ya msalaba. Nimebaki na maswali lukuki.

Aina hiyo ya uandishi inaitwa hygrolyphics kama sijakosea na kuna wataalamu wake wanaojua kutafasiri hizo symbols.

Hiyo alama ya msalaba haina uhusiano na huu wa sasa kwani enzi hizo hata Nabii Issa alikuwa hajazaliwa (karne ya 2 mpaka 3 BC).

Hizo ni enzi za Nabii Musa akipambana na Firauni.
 
Back
Top Bottom