Viungo bora wakabaji wa muda wote top ten

Umekalili maisha

Kajifunze kuandika kwanza ndo urudi hapa, ni umekariri na siyo umekalili.

Na isitoshe kwa andiko lako hujui nini maana ya timu.

toka uanze kumfuatilia huyo Busquets wako ushasikia timu gani inamtaka.?
 
Huyo hawezi kuzijua Kazi za hawa jamaa.
 
Lothar mathaus
Frank rijkard
Graeme sousness
Claudio makelele
Deschamps
Viera
Marco tadelli
El cholo.. diego simeone
Dunga
Gilberto da silva

Naweza kuendelea mpaka 50 na busquet asiwemo
Sawasawa mkuu hao watu wake ata top 1000 hawapo. Mtoto mdogo shabiki wa Man City anataka kujifanya anajua viungo bora hehehehe
 
Lothar Matthaus namba 6 alieshinda Ballon d’Or hayupo? Hii list yako ni feki.

Lothar Matthaus
Roy Keane
Makelele
Viera
Diego Simeone
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Edgar Davids
Dunga.
Graeme Souness kama hayupo list yako ni feki
 
Viungo "wakabaji" mwanzoni walikuwa na jukumu la kuunganisha timu kati ya defence na wachezaji wa mbele.
Ukweli ni kwamba Jose Mourinho ndo haswa kaitambulisha hii ya KIUNGO MKABAJI WA SASA na majukumu anayofanya, na shughuli hii aliianzisha kwa Makelele na Essien pale chelsea. Kwa kuwa ilifanikiwa basi kila mtu akaichukua on board na sasa imekuwa ni kama standard. Ni kama full backs, mwanzoni hawakuwa wanapanda sana mpaka alipoanzishaga kwa sana Carlos Roberto na Cafu.
Hivyo kiungo ukabaji haina muda mrefu sana dimbani. Wapo wachache waliitumiaga hii falsafa lakini kwa kiwango kidogo.
 
Naona watu wanachanganya kwa kuamua kututajia majina ya wachezaji wa zamani,hakika hakuna Kama kante na Sergio ,hao sijui viera na nani hakuna kitu, makelele na Davis Edgar sawa,
 
Acha uongo,makelele alikuwa bora tangu akiwa Madrid Kama mkabaji,kipindi hicho morinho alikuwa hajulikani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…