Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mwishoni umemaliza vyema sana kuwa alikuwa anapiga kazi mbili kwa pamoja yaani kukaba na kushambulia, viungo wa dizaini hiyo tunawaita Box to Box Midfielders!Naona hta alonso mwenyewe humjui vizur haitwi xavi huyu ni xabi "xabier" alonso, turudi kwenye topic.
Labda kwa ufupi tuu, Alonso ana vitu vingi kuliko huyo sergio wako.. anauwezo wa kukaba na kushambulia, pasi ndefu ni mujarabu kwake, mpira ni mchezo wa mbinu, mandzukic anatokea winger ya kushoto pale juve wakati ni mshambuliaji kiasili. As a defensive midfilder alonso no bora zaid ila alisogezwa juu sababu anavitu amabavyo busquet hana, kama yeye angecheza chini busquet juu lingekuwa tatizo sababu busquet hawezi kufanya kile ambacho alonso anakifanya akiwa juu. Ac milan pirlo alikuwa anacheza deep kwa gatusso katika. 4-4-2 ya diamond wide, sijui unataka kuniambia nini..
Timu inaweza cheza na viungo wakabaji wawili hata watatu inategemea na mwalimu.. alonso hakuhamishwa namba alicheza sambamba na busquet juu yao akiwemo xavi, sababu ratio ya kushmbulia na kuzuia ni sawa. Alikuwa anapiga kazi mbili kwa wakati mmoja.
Ni lini amewahi kucheza kama DM?Unamuachaje Mauro camoranessi?
hamna mchezaji anapiga pasi mkaa Kama Sergio pale barcaHuo ni uongo Sergio anapiga penetration za hatari sana ambazo sijawahi ona kiungo anafanya ivyo mkuu
Una umri gani? Mpira umekuzidi mbali sana, hao uliowataja hapo wengi hawamfikii hata Selemani Matola "Sele".Yeah! Wanasoka wenzangu nipo hapa kutoa List fupi wa viungo wa kukaba bora wa mda wote kwa upande wangu katika tasnia ya soccer .
1.Sergio Busquets - kwa upande wangu huyu jamaa ni bora kabisa katika viungo wote kutokana na uwezo wake wa kuziba matobo na kupiga killer pass na unyumbulifu wake
2.Gatusso- huyu nampa nafasi ya pili kutokana na ubora wake katika kukaba na roho mbaya ya unyama unyama
3.Claudia Makelele- kijana kutoka ufaransa nae alikuwa ni bora kabisa katika nafasi yake hiyo
4.Ngolo Kante- kijana pia kutoka ufaransa ambaye anakipaji cha hali ya juu katika kusakata kabbu katika hiyo nafasi
5.Cassemiro - a.k.a the Tank ni kipaji kinachochipukia lakini kutokana na ubora wake nampa nafasi ya tank
6.Xavi Alonso mhisipaniola fundi nae ni xavi Alonso anasifika kwa kupiga long passes na kukaba .
Japo heading inasema ni top ten naomba niishie 6 ilikuwapa nafasi na wachangiaji kumalizia hao wa 4 waliobaki
Ni kweli, lakini Je, wewe unadhani ni sahihi kumuweka nje Patrick Viera au Dunga au Essien na kuweka huo ubwege wako sijui Sergio Mara cassemilo? Hata kwa Mwanangu Chuji tu HawafikiiNaona unampigia promo baba yako mdogo
ID kama ya yule kiungo mkabaji wa BarcaNaipenda sana Barcelona lakini kila ninapoangalia
mechi zao mtu ambaye huwa namfuatilia zaidi Sergio Busquets.
Jamaa anajua sana mpira, namna anavyopiga
pasi ndefu/fupi, chenga za maudhi na uwezo wa kukaba
hakika ni kipaji maridhawa katika soka. Kwa wale ambao
wana wasiwasi na uwezo wake waangalie mechi za Barca
Na wampe jicho la ziada waone kazi anayoifanya. kwangu mimi
huyu ndio kiungo wa chini wa muda wote kwa niliobahatika kuwaona.
Wenzako tunahia Dodoma wewe unahama!NO Ozil NO Party 1+1= 11MesurtOzil
Kaangalie isidingoNaona watu wanachanganya kwa kuamua kututajia majina ya wachezaji wa zamani,hakika hakuna Kama kante na Sergio ,hao sijui viera na nani hakuna kitu, makelele na Davis Edgar sawa,
hujui ulichokiandika yaani umeandika Makande matupuViungo "wakabaji" mwanzoni walikuwa na jukumu la kuunganisha timu kati ya defence na wachezaji wa mbele.
Ukweli ni kwamba Jose Mourinho ndo haswa kaitambulisha hii ya KIUNGO MKABAJI WA SASA na majukumu anayofanya, na shughuli hii aliianzisha kwa Makelele na Essien pale chelsea. Kwa kuwa ilifanikiwa basi kila mtu akaichukua on board na sasa imekuwa ni kama standard. Ni kama full backs, mwanzoni hawakuwa wanapanda sana mpaka alipoanzishaga kwa sana Carlos Roberto na Cafu.
Hivyo kiungo ukabaji haina muda mrefu sana dimbani. Wapo wachache waliitumiaga hii falsafa lakini kwa kiwango kidogo.
ID kama kiungo mzuiaji wa Barcelona anayeleta ubishi hapa uziniSasa busquets na masherano si wanacheza timu moja na masherano alilazimika kucheza beki baada ya kuwekwa bench na busquets. Senna pia ni hivo hivo aliacha kuitwa national team baada ya busquets kuchukua nafasi yake. Busquets hatumii nguvu nyingi kukaba na kucheza rafu kwanza mpira muda mwingi anao yeye, anachezasha timu. Viungo wengine wanakaba sana wakipata mpira wanabutua mbele au wanatoa pass ya hovyo. Kama unapenda viungo wa aina hii huwezi kuona ubora wa sergio busquets
Ni sahihi sababu kimafanikio hawajamkuta wote kwa pamojaNi kweli, lakini Je, wewe unadhani ni sahihi kumuweka nje Patrick Viera au Dunga au Essien na kuweka huo ubwege wako sijui Sergio Mara cassemilo? Hata kwa Mwanangu Chuji tu Hawafikii
Uchambuzi wako haujakaa kuangalia/kutathmini mafanikio, umeongelea uwezo wa kiuchezaji, na ndio maana ukasema Sergio anaziba mianya/matobo wapinzani wasiwadhuru na pia anapiga sijui "killer pass"..Ni sahihi sababu kimafanikio hawajamkuta wote kwa pamoja
Lothar na Rijkaad walikuwa viungo kweli au matango pori hayaUliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;
Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva
Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!
Lothar na Rijkaad walikuwa viungo kweli au matango pori haya