Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Hongereni Simba kwa kusonga mbele group stage. Leo mechi niliiangalia kwa hawa viungo wa kati wa simba Mzamiru Yasin na Kanoute a.k.a Putin.
Kwanza majina yao ya utani yanaakisi wanachokifanya uwanjani (Kiungo Punda, punda kweli kweli na Vladimir Putin roho ya paka ukizubaa anakutoa roho) hahahaaaaa wanafurahisha sana. Mzamamiru kazaliwa upyaaaa.
Wanakaba, wanaunganisha timu, wanasogea kushambulia pande zote, wanachukua mipira kwa mabeki na kusogea nayo mbele hakika wameiva.
Bonge la combination. Nungunungu atulie kwa kweli anacheza kifaza sana ye atasubiri mechi lainilaini.
Group stage tunategemea burudani zaidi kutoka kwao.
Kwanza majina yao ya utani yanaakisi wanachokifanya uwanjani (Kiungo Punda, punda kweli kweli na Vladimir Putin roho ya paka ukizubaa anakutoa roho) hahahaaaaa wanafurahisha sana. Mzamamiru kazaliwa upyaaaa.
Wanakaba, wanaunganisha timu, wanasogea kushambulia pande zote, wanachukua mipira kwa mabeki na kusogea nayo mbele hakika wameiva.
Bonge la combination. Nungunungu atulie kwa kweli anacheza kifaza sana ye atasubiri mechi lainilaini.
Group stage tunategemea burudani zaidi kutoka kwao.