Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

otimbiotimbi

Senior Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
132
Reaction score
230
Yani hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno ,vinapoanza panaanza kuwasha kwanza halafu vikishatokezea kama vipele ila vinakuwa kama mtu kaungua na moto hv yaani ukiminya vinakuwa na maji yani vinauma kweli kweli.

Vinaweza kukaa kama miezi mwili ama mitatu vinarudi tena.

Kama kuna mdau alishawah kukutana na hii hali ama ana idea na hili tatizo msaada tafadhali.

Screenshot_20241023_164009_Chrome (1).jpg
 
Yani hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno ,vinapoanza panaanza kuwasha kwanza halafu vikishatokezea kama vipele ila vinakuwa kama mtu kaungua na moto hv yaani ukiminya vinakuwa na maji yani vinauma kweli kweli.

Vinaweza kukaa kama miezi mwili ama mitatu vinarudi tena.

Kama kuna mdau alishawah kukutana na hii hali ama ana idea na hili tatizo msaada tafadhali
Miendendo yako ipoje?
 
Una ungonjwa unaoitwa Herpes, huu ugonjwa huambukizwa kwa njia ya Ngono au kugusana na maji maji ya mtu mwenye huu ugonjwa.

Ungonjwa huu ni virusi, hivyo hauna dawa. Lakini kwa takwimu ni ugonjwa usio madhara makubwa endapo mwili wako una kinga ya kutosha.

Ni kama mafua, ishi nao.

Pia kama ushawai kusikia watu wanasema wana vidonda mdomoni homa inapoondoka, mara nyingi huwa ni herpes pia, sema tu huwa hawasemi.

Huenda hao waliokutisha kwenye machapisho ya hapo juu wana herpes pia, ni vile tu hawajapima au hawajui dalili zake nyingine.


Screenshot_20241023_165939_Chrome.jpg
 
Nimeangalia hizo picha mbili nahisi mwili unawasha. Na hii huenda ikaendelea kila nikikumbuka hizi picha. Watalaam nishaurini, je hili nalo ni tatizo la kiafya? Hua inanitokea nikiona wadudu wadogo wakiwa kwenye lundo moja wengi au wadudu wasioonekana kwa macho ninapowaona kwenye magnifiers microscope.
 
Yani hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno ,vinapoanza panaanza kuwasha kwanza halafu vikishatokezea kama vipele ila vinakuwa kama mtu kaungua na moto hv yaani ukiminya vinakuwa na maji yani vinauma kweli kweli.

Vinaweza kukaa kama miezi mwili ama mitatu vinarudi tena.

Kama kuna mdau alishawah kukutana na hii hali ama ana idea na hili tatizo msaada tafadhali
Dalili mojawapo ya HIV,em Google mkuu...
Wanaita moto wa Mungu.
Au uende hospital ukapime usiishie kuonesha dudu hapa.Pole sana
 
Me nadhani wahi hospital, usiogope kumwelza daktari na hata ikiwezekana kumwonyesha. Kama unaogopa basi tafta daktari umri sawa na wako kaa nae umweleze usimfiche kitu pia afahamu mwenendo wako kabla hujapata hilo tatz! Hope utakuwa fine mkuu kuliko huku jf wengi watakucheka tu na kukupa maneno magumu!
Yani aogope kumwonyesha daktari halafu kaweza kuonyesha watu zaidi ya laki 6 humu jf?????🤔🤔🤔🤔
 
Yani hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno ,vinapoanza panaanza kuwasha kwanza halafu vikishatokezea kama vipele ila vinakuwa kama mtu kaungua na moto hv yaani ukiminya vinakuwa na maji yani vinauma kweli kweli.

Vinaweza kukaa kama miezi mwili ama mitatu vinarudi tena.

Kama kuna mdau alishawah kukutana na hii hali ama ana idea na hili tatizo msaada tafadhali
Wewe ni kitombi wa danguro gani?
 
Back
Top Bottom