connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Viwanja/mshamba ya mzeeUkiona Ivo ujue Kuna hela inanyemelewa apo ya mirathi
Wanataka kadi ya kuitwa kwenye msibaWalifika msibani au hawakufika?
Walitaka ateuliwe mmoja wao kumsindikiza marehemu ndio wajue kama walishirikishwa?
"Kama huwezi kukibadilisha basi huna mamlaka ya kukilalamikia."
Viwanja gani?nashamba gani?wasanii wa zamani wote ni hoehaeViwanja/mshamba ya mzee
Athari za ndoa ya mitala. Kaa mbali nazo, utaacha malumbano na misigano ndani ya damu yako mwenyewe1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
Haya mambo yapo mzee ni kuomba MUNGU yasikutokee hiyo atakua anataka rambi rambi hamna kingine1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
Mzee alikua anaimba "kuganga njaa" Hadi dakika za jiooooniViwanja gani?nashamba gani?wasanii wa zamani wote ni hoehae
Plus jela miaka 13Mzee alikua anaimba "kuganga njaa" Hadi dakika za jiooooni
Viwanja gani?nashamba gani?wasanii wa zamani wote ni hoehae
Alifanya niniPlus jela miaka 13
Mzee Kikii si kaka jela 13 years mali alizikuta kweliAlifanya nini