komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Apo ? Au hapo.Ukiona Ivo ujue Kuna hela inanyemelewa apo ya mirathi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo ? Au hapo.Ukiona Ivo ujue Kuna hela inanyemelewa apo ya mirathi
Mzee Kikii si kaka jela 13 years mali alizikuta kweli
Anataka kusema Nguza vikingUshachanganya madesa tayari... usiwe una comment ukiwa na njaa au usingizi
Mbona hajalalamika akisema kuwa hakushirikishwa katika Kumuuguza Marehemu Baba yao Kipindi chote alipokuwa akiumwa na badala yake anakuja kulalamika Kutoshirikishwa katika Msiba?1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
Jela ipiPlus jela miaka 13
We unachanganya mambo sio huyoMzee Kikii si kaka jela 13 years mali alizikuta kweli
Walisubiri washirikishwe?1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
Duh hii habari imenipita, huyu mzee ni yule aliyeimba Seya au Kitambaa cheupe maana wananichanganya sana1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
Kitambaa cheupeDuh hii habari imenipita, huyu mzee ni yule aliyeimba Seya au Kitambaa cheupe maana wananichanganya sana
Asante MkuuKitambaa cheupe
Kitambas cheupeDuh hii habari imenipita, huyu mzee ni yule aliyeimba Seya au Kitambaa cheupe maana wananichanganya sana
Nashangaa mzee kaomba sana msaada humu mitandaoniWakati baba yao anaugua mpaka anafariki walikuwa wapi?
Vipi tena mbona una hasira ? Mambo ya King Mswati yanatoka wapi tena, au alikumegea Mkeo nini?1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
umechanganya mambo wewe, king kikii si nguza vikingMzee Kikii si kaka jela 13 years mali alizikuta kweli
Huwez kumuita mswati kwa wake wawili tu, mswati ana zaidi ya 301. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.
king kikii na nguza viking, kachanganya madesa hapoUshachanganya madesa tayari... usiwe una comment ukiwa na njaa au usingizi
Wanataka washirikishwaje1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA.
RIP King 'Mswati'
BCc: Steve Nyerere - Mratibu wa misiba.