Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
Tanzani nakumbuka tuliambiwa tukiwa linked na mkongo/optic fibre gharama za net zingeshuka kwa 50% naona mkongo tunao naona gharama ziko kama kawa though baadhi ya maeneo zimekuwa stagnant hazipandi.
DSM kuna viwanda zaidi ya 20 SBL,TBL ,TWIGA etc wanatumia gas kuzalisha bidhaa zao ila sijawai sikia punguzo la bidhaa zao interms of price matching to some extent the savings on gas usage instead of electricity.
As a result bei za bidhaa zao zinaongezeka!Hii mnakuwa hamuwatendei haki consumers wa bidhaa zenu.
Nawakilisha kwa maoni zaidi
DSM kuna viwanda zaidi ya 20 SBL,TBL ,TWIGA etc wanatumia gas kuzalisha bidhaa zao ila sijawai sikia punguzo la bidhaa zao interms of price matching to some extent the savings on gas usage instead of electricity.
As a result bei za bidhaa zao zinaongezeka!Hii mnakuwa hamuwatendei haki consumers wa bidhaa zenu.
Nawakilisha kwa maoni zaidi