Viwanda vingi vya Netherlands vyafungwa kutokana na kutohimili bei ya nishati ya Urusi

Viwanda vingi vya Netherlands vyafungwa kutokana na kutohimili bei ya nishati ya Urusi

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Cc: let the caged bird sings,

Uturiki yaripoti kuwa viwanda mbalimbali nchini Netherlands vinafungwa kwa 'fujo' (wingi) kutokana na bei ya nishati kuongezeka zaidi. Hiyo ni kutokana na Urusi kuamua kuzinyoosha nchi za EU kwa kuwanyima gesi yake. Gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa zaidi kiasi kwamba wamiliki wa viwanda wameona ni upuuzi viwanda vyao kuendelea kuzalisha bidhaa kwa hasara.

Viwanda vilivyoathirika zaidi ni vile vya kuchakata metali kama vile viwanda vya kuzalisha chuma, chuma cha pua (steel), aluminium, shaba na zinki. Pia sampuli nyingine za viwanda vinavyofungwa ni viwanda vya kutengeneza aina mbalimbali za karatasi ikiwemo zile tunazoziita Bongo RIM paper, viwanda vya vyakula na viwanda vya kemikali mbalimbali ikiwemo mbolea.
=====


SmartSelect_20220903-181307_Chrome.jpg

SmartSelect_20220903-181903_Chrome.jpg
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
We fala kweli ninyi ndio ma gay wenyewe hujitambui unadhni misaada unapewa bure hiyo there is no free lunch bob

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Mada ni Kufungwa Viwanda huko
habari ya Kijinga sijui nn au Kutoa Msaada wakitaka waache
Huo msaada unajua Wanacho Kiiba !!
Mungu Ibariki Urusi
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Unaonyesha ulivyo na desperation kwa "habari hii mbaya".

Kwani sisi ndio tuliowatuma wasusie hiyo cheap gas/Mafuta ya Russia na mpaka kuwafika yaliyofika...? Huo ni upumbavu wao.

Pia, hii sio shida ya muda mfupi kama unavyoiita.
 
Unaonyesha ulivyo na desperation kwa "habari hii mbaya".

Kwani sisi ndio tuliowatuma wasusie hiyo cheap gas/Mafuta ya Russia na mpaka kuwafika yaliyofika...? Huo ni upumbavu wao.

Pia, hii sio shida ya muda mfupi kama unavyoiita.
Nini kinifanye niwe na depression?.
🤣🤣🤣 Et, upumbavu wao.. Kwa mara ya kwanza black men amekuwa na IQ kubwa hadi ya kuona upumbavu wa race nyingine. 😂😂
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
We hujui nani ananunua hizo AK 47 na kuwapa hao Boko Haram u,ungemjua mfadhili namba Moja wa makundi ya waasi duniani basi ungefunga kopo lako!
 
Cc: let the caged bird sings,

Uturiki yaripoti kuwa viwanda mbalimbali nchini Netherlands vinafungwa kwa 'fujo' (wingi) kutokana na bei ya nishati kuongezeka zaidi. Hiyo ni kutokana na Urusi kuamua kuzinyoosha nchi za EU kwa kuwanyima gesi yake. Gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa zaidi kiasi kwamba wamiliki wa viwanda wameona ni upuuzi viwanda vyao kuendelea kuzalisha bidhaa kwa hasara.

Viwanda vilivyoathirika zaidi ni vile vya kuchakata metali kama vile viwanda vya kuzalisha chuma, chuma cha pua (steel), aluminium, shaba na zinki. Pia sampuli nyingine za viwanda vinavyofungwa ni viwanda vya kutengeneza aina mbalimbali za karatasi ikiwemo zile tunazoziita Bongo RIM paper, viwanda vya vyakula na viwanda vya kemikali mbalimbali ikiwemo mbolea.
=====


View attachment 2344573
View attachment 2344575
Huuu Ndio Muda wa USA kuangusha Nyuklia pale Moscow Russia
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Mzee wa upinde. Naona unatetea machoko wenzako
 
Back
Top Bottom