Viwanda vingi vya Netherlands vyafungwa kutokana na kutohimili bei ya nishati ya Urusi

Viwanda vingi vya Netherlands vyafungwa kutokana na kutohimili bei ya nishati ya Urusi

Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Mapopoma kumbe yapo mengi sana humu

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Toa upumbavu wako hapa, viva putin usirudi nyuma kanyaga twende.

Kwa taarifa yako tu, hata wasipo leta hizo Arv na sjui chanjo hatutokufa wote, alafu pia ndo utakuwa mwanzo wa kupambana kusimama wenyewe bila kutegemea misaada. Mashoga kama nyie ndo mnapenda sana kulilia kusaidiwa.

Kwahyo unaona hili bara zima la africa hakuna watu wenye akili ya kutengeneza hizo chanjo au Dawa za kufubaza virus? Kumbafu zako

Tumechoka kuona baadhi ya nchi zikiongozwa na mme wao US wakiifanya dunia ni kigoda Cha kukalia..
 
Huuu Ndio Muda wa USA kuangusha Nyuklia pale Moscow Russia

Ni kweli kabisa - si unajua tena kwamba Wamerika wanaishi kwenye sayari ya MARS sio hapa Duniani, ndio maana wana uwezo mkubwa wa kushambulia Urusi nzima kwa Nuclear laden payload missiles bila ya wao kushambuliwa - critical thinking kweli kweli.
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Lol umejidhalilisha sana Mwamba.
Umemjibu mtoa mada ukidhani anafurahia,kumbe yeye ni mleta habari TU.
Tena ameleta na chanzo Cha habari.
Nilitarajia ungemkanusha kua habari hiyo sio ya kweli kwa wewe kutoa habari ya kweli kua viwanda havijafungwa.

Kuna fani maprofesa Huwa ni mambumbumbu.
 
Cc: let the caged bird sings,

Uturiki yaripoti kuwa viwanda mbalimbali nchini Netherlands vinafungwa kwa 'fujo' (wingi) kutokana na bei ya nishati kuongezeka zaidi. Hiyo ni kutokana na Urusi kuamua kuzinyoosha nchi za EU kwa kuwanyima gesi yake. Gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa zaidi kiasi kwamba wamiliki wa viwanda wameona ni upuuzi viwanda vyao kuendelea kuzalisha bidhaa kwa hasara.

Viwanda vilivyoathirika zaidi ni vile vya kuchakata metali kama vile viwanda vya kuzalisha chuma, chuma cha pua (steel), aluminium, shaba na zinki. Pia sampuli nyingine za viwanda vinavyofungwa ni viwanda vya kutengeneza aina mbalimbali za karatasi ikiwemo zile tunazoziita Bongo RIM paper, viwanda vya vyakula na viwanda vya kemikali mbalimbali ikiwemo mbolea.
=====


View attachment 2344573
View attachment 2344575
Ndio serikali zenu za kipumbav zitake hii kama opportunity za kuwashawishi hao mabwenyenye WA kizungu toka Europe waamishie uwekezaji na mitaji Yao hasa viwanda Africa , ili kuendeleza nchi zetu kimapato , ajira,miundombinu na well being ya kijamii .

Mi hii naoina Kwa jicho la kipekee Sana , I wish ningekuwa Rais WA nchi moja wapo barani Humu ,ningefanya makubwa Sana , Marais ,wananchi na viongozi WA Africa hawana akili .
 
Lol umejidhalilisha sana Mwamba.
Umemjibu mtoa mada ukidhani anafurahia,kumbe yeye ni mleta habari TU.
Tena ameleta na chanzo Cha habari.
Nilitarajia ungemkanusha kua habari hiyo sio ya kweli kwa wewe kutoa habari ya kweli kua viwanda havijafungwa.

Kuna fani maprofesa Huwa ni mambumbumbu.
Teh teh teh. Unaweza kuwa upo sahihi ila jambo moja nina hakika nalo ni kwamba hukujipa muda wa kujiuliza why mlete mada kani tag kwenye uzi wenyewe.
Ni kwamba, nilichokiandika ni sehemu ya kile kilichomfanya mleta mada anitag.
Then, nilichokiandika nimetia chumvi?
 
Unabwabwaja tu, hata hujui unachoshadadia.
 
Cc: let the caged bird sings,

Uturiki yaripoti kuwa viwanda mbalimbali nchini Netherlands vinafungwa kwa 'fujo' (wingi) kutokana na bei ya nishati kuongezeka zaidi. Hiyo ni kutokana na Urusi kuamua kuzinyoosha nchi za EU kwa kuwanyima gesi yake. Gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa zaidi kiasi kwamba wamiliki wa viwanda wameona ni upuuzi viwanda vyao kuendelea kuzalisha bidhaa kwa hasara.

Viwanda vilivyoathirika zaidi ni vile vya kuchakata metali kama vile viwanda vya kuzalisha chuma, chuma cha pua (steel), aluminium, shaba na zinki. Pia sampuli nyingine za viwanda vinavyofungwa ni viwanda vya kutengeneza aina mbalimbali za karatasi ikiwemo zile tunazoziita Bongo RIM paper, viwanda vya vyakula na viwanda vya kemikali mbalimbali ikiwemo mbolea.
=====


View attachment 2344573
View attachment 2344575
Hakuna rangi wataacha ona 🤣🤣🤣🤣
 
Note kwamba:, viwanda vitafungwa, uchumi utayumba mfumuko wa bei utakuwa juu maradufu. japo kuwa wanapita ndani ya hiyo changamoto hisiyo dumu bado hawatoacha kuchangia bajeti ya nchi yako.
Bado watakujengea barabara ili uende kijiweni kujadili Simba na yanga, watakujengea vyoo ili usinye mbugani,watakuletea chanjo ili mwanao asipate Dengue, watakuletea Arv Bureee gharama yake ni mwendo wa mguu kwenda Clinic.
Wakati huo Urusi ataendelea kuuza AK 47 kwa boko haram ili kusapoti bajeti.
Note kwamba
Tutaendelea kusimama na RUSSIA kwenye hii SMO mpaka ikamilike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nini kinifanye niwe na depression?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Et, upumbavu wao.. Kwa mara ya kwanza black men amekuwa na IQ kubwa hadi ya kuona upumbavu wa race nyingine. [emoji23][emoji23]
Nyie ndio hua mnahisi kila mzungu ana akili kuliko mtu mweusi, ndio maana mnaambiwa mlane makalio mnakubali
 
Back
Top Bottom