Viwanda vingi vya Netherlands vyafungwa kutokana na kutohimili bei ya nishati ya Urusi

Mapopoma kumbe yapo mengi sana humu

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Toa upumbavu wako hapa, viva putin usirudi nyuma kanyaga twende.

Kwa taarifa yako tu, hata wasipo leta hizo Arv na sjui chanjo hatutokufa wote, alafu pia ndo utakuwa mwanzo wa kupambana kusimama wenyewe bila kutegemea misaada. Mashoga kama nyie ndo mnapenda sana kulilia kusaidiwa.

Kwahyo unaona hili bara zima la africa hakuna watu wenye akili ya kutengeneza hizo chanjo au Dawa za kufubaza virus? Kumbafu zako

Tumechoka kuona baadhi ya nchi zikiongozwa na mme wao US wakiifanya dunia ni kigoda Cha kukalia..
 
Huuu Ndio Muda wa USA kuangusha Nyuklia pale Moscow Russia

Ni kweli kabisa - si unajua tena kwamba Wamerika wanaishi kwenye sayari ya MARS sio hapa Duniani, ndio maana wana uwezo mkubwa wa kushambulia Urusi nzima kwa Nuclear laden payload missiles bila ya wao kushambuliwa - critical thinking kweli kweli.
 
Lol umejidhalilisha sana Mwamba.
Umemjibu mtoa mada ukidhani anafurahia,kumbe yeye ni mleta habari TU.
Tena ameleta na chanzo Cha habari.
Nilitarajia ungemkanusha kua habari hiyo sio ya kweli kwa wewe kutoa habari ya kweli kua viwanda havijafungwa.

Kuna fani maprofesa Huwa ni mambumbumbu.
 
Ndio serikali zenu za kipumbav zitake hii kama opportunity za kuwashawishi hao mabwenyenye WA kizungu toka Europe waamishie uwekezaji na mitaji Yao hasa viwanda Africa , ili kuendeleza nchi zetu kimapato , ajira,miundombinu na well being ya kijamii .

Mi hii naoina Kwa jicho la kipekee Sana , I wish ningekuwa Rais WA nchi moja wapo barani Humu ,ningefanya makubwa Sana , Marais ,wananchi na viongozi WA Africa hawana akili .
 
Teh teh teh. Unaweza kuwa upo sahihi ila jambo moja nina hakika nalo ni kwamba hukujipa muda wa kujiuliza why mlete mada kani tag kwenye uzi wenyewe.
Ni kwamba, nilichokiandika ni sehemu ya kile kilichomfanya mleta mada anitag.
Then, nilichokiandika nimetia chumvi?
 
Unabwabwaja tu, hata hujui unachoshadadia.
 
Hakuna rangi wataacha ona 🤣🤣🤣🤣
 
Note kwamba
Tutaendelea kusimama na RUSSIA kwenye hii SMO mpaka ikamilike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nini kinifanye niwe na depression?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Et, upumbavu wao.. Kwa mara ya kwanza black men amekuwa na IQ kubwa hadi ya kuona upumbavu wa race nyingine. [emoji23][emoji23]
Nyie ndio hua mnahisi kila mzungu ana akili kuliko mtu mweusi, ndio maana mnaambiwa mlane makalio mnakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…