Tetesi: Viwanda vitano vya sukari vimesimamisha uzalishaji kupisha matengenezo na mapumziko

Tetesi: Viwanda vitano vya sukari vimesimamisha uzalishaji kupisha matengenezo na mapumziko

I have no peace of mind.ni heri nisingeenda shule,niishi gizani kama dada angu anayeniuliza "Mbona Lowasa hatekelezi sera zake wakati nilimpa kura?"
Duuh mkuu hii inauma sana lakini ipo siku lengo lake dada litafikiwa.
 
Hiyo ni kweli na inajulikana miaka nend rudi! Ilitakiwa serikali ijipange na kuagiza sukari nje kama ilivyo kawaida! Ila sababu serikali ni one man show asiyeshaurika wanamuachia mwenyewe.....mkono wa chuma
waziri mkuu alitumwa kwenda kuangalia hali ya sukari kagera sugar; Sijui aliuuliza maswali gani.
Je alienda kuangalia sukari iliyopo; Nachojua uganda ndo wanunuzi wakubwa wa sukari kagera; na wanaweza acha sukari wakisubiri msimu wa masika.
sijui aliuliza sukari ya serikali ya Uganda ni hipi na ya wananchi ni hipi.
kama picha inyoonesha. wakulaumiwa ni waziri mkuu JPM alitimiza wajibu wake
IMGS8607.jpg
 
we kilaza hiyo elimu yako haina manufaa yoyote bora usingezaliwa kabisa huna umuhimu wowote kwa taifa
 
Mwingulu yupo ; Waziri mkuu yupo.
HAWA NDO WALIONGOPEA BARAZA LA MAWAZIRI NA RAISI ; WAKININI WASINGEENDA NA WAJUMBE WA BODI YA SUKARI . WAO NI WATAALAMU WA UZALISHAJI SUKARI????
IMGS8607.jpg
 
kufa kufaana jamani wauza sukari wamezingua tunaweza kufanya moja kati ya haya yafuatayo.
1 nunua asali utaweza kutumia kwenye chai na uji na vitu vingi vinavyohitaji sukari. mimi kwangu hutumia asali tu kwenye chai miaka mitatu sasa.
2 ukishindwa kununua asali nunua muwa mmoja kila siku umenye vizuri twanga kamua maji yake chuja vizuri weka kwenye uji au chai ngoma isambe .
hautalalamikia sukari tena.
 
Serikali ilizuia sukari toka nje bila kufanya utafiti wa kina sasa wanatumia ubabe kitu ambacho siyo sahihi. Hii ni dalili mbaya kwa serikali kulumbana na wafanyabiashara na wakati ni soko huria
Magu nchi itamshinda
 
Nimefanya kazzi mtibwa hiyo ni kawaida tu kwa viwanda vya sukar
 
Sasa taarifa uliyoiandaa mwenyewe inakuwa tetesi?
 
Bei ya jumla kwa kilo ni 1650. Acha uongo wako wewe. Pia huwa wanasimamisha shughuli zao kipindi cha masika kila mwaka.
wapi huko ipo bei hiyo,sisi huku ni 4000 kwa kilo
 
I have no peace of mind.ni heri nisingeenda shule,niishi gizani kama dada angu anayeniuliza "Mbona Lowasa hatekelezi sera zake wakati nilimpa kura?"
Mume wa huyo dadayako ameshatekeleza ahadi zake zote alizo ahidi kwa dadayako? Kama tayari ndipo aanze kusubiri ahadi toka sehemu nyingine alizo ahidiwa.
 
Hili haliwezekani kwa ss, kuna viwanda vimepewa mikopo mikubwa ili viongeze uzalishaji kwa ajili ya kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye sukari,
Mipango iliyopo ni kuongeza kiwanda kimoja tu cha sukari ili nchi ijitegemee jumla jumla na watu washaanza mchakato wa kujenga kiwanda hicho ili ifikapo 2018 tujitegemee kwa sukari kabisa
Viwanda vya sukari kwa ss vinaunga mkono juhudi za JPM manake kawapa deal kubwa sana la kuboreshewa viwanda vyao na masoko ya uhakika,
Wakifanya mchezo mikopo watarudishaje, na incase zikitolewa leseni mbili za kujenga viwanda vi2, si itakula kwao
Lazima wamuunge mkono JPM hawana jinsi
 
Mtoa mada angalau ungefanya utafiti kidogo juu la tatizo la sukari lakin inaonyesha hujui lolote ni kama umekurupuka kutoka usingizini
 
Kama ni kweli wamevizima n laza vitakuwa vya majibu kwa sababu zilikuwa za serikali tutazichukua tena
 
Back
Top Bottom