Tetesi: Viwanda vitano vya sukari vimesimamisha uzalishaji kupisha matengenezo na mapumziko

One man show itatughalimu sana kwa kweli
 
Magu ni mkurupukaji,
sasa naona anatafutwa mtu atolewa kafara kwenye sukari kwa ajili ya dhambi ya magu, sAA100 & majaALIWA!
kwa hiyo waha waliokamatwa ni kondoo wa kafara
 
Kuna haja ya kutafuta wawekezaji kwenye sector ya sukari walio serious.
Kwa nini hamtaki wananchi watengeneze sukari yao wenyewe? Zipi njia za kutengeneza sukari kwa teknolojia rahisi...wahindi wanafanya hivyo.
 
Jamani, hivi sukari imeanza kupungua mwaka huu?? Miaka yoote, mbona hatujafikia hapa? Kuna sababu. Ushauri wangu ni kwamba, serekali iwatafute watu competitive wenye nia ya dhati kabisa kuzalisha sukari, wawape mkono ili wapewe mkopo na TIB, waanzishe kilimo cha miwa na wakifikia uzalishaji, wapewe vinu vya kusindikia wazalishe sukari. Yaweza chukua mda lakini watazalisha ule upungufu uliopo kutokana na viwanda vyetu kutokidhi hitaji hilo.
Ardhi tunayo, uwezo tunao ila nia hatuna na hilo latokana na wakuu wenyewe kuwa, yawezekana watu wakafaidi. Ule uwezo wa kutengeneza juice tu, uongezwe tuweze kutengeneza sukari na tooth pick pia.
 
Kwa nini hamtaki wananchi watengeneze sukari yao wenyewe? Zipi njia za kutengeneza sukari kwa teknolojia rahisi...wahindi wanafanya hivyo.
Ni nani hataki watu wasitengeneze sukari yao wenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…