Viwango vya CAF vyaiweka Yanga namba moja Tanzania.

Hili lipo wazi, Yanga kafanya vizuri mwaka huu kuliko Simba, though kaanza kuzingua hapa karibuni...


Hongereni watani.
 
Barcelona ikicheza na yanga inapigwa
 
Kwahyo mashabiki wa mikia walitaka wamchangani waongoze wakati wana miaka 4 hawajawahi kunusa ubingwa!???
 
Kuugua mafanikio ya mtu ni maradhi mabaya jamani kwa mujibu wa CAF ndio wameona hivyo ukibisha wewe bisha tu hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…