Viwango vya CAF vyaiweka Yanga namba moja Tanzania.

Viwango vya CAF vyaiweka Yanga namba moja Tanzania.

Hili lipo wazi, Yanga kafanya vizuri mwaka huu kuliko Simba, though kaanza kuzingua hapa karibuni...


Hongereni watani.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hyo hujaona timu nyingine ila ukaiona Barcelona tu au unatuchawia ili leo tupoteze??

NILITEGEMEA USEME MBONA AZAM KAFUNGWA MNASHANGAA NINI YANGA KUFUNGWA yani kuifananisha YANGA a.k.a wakubebwa na MABINGWA FC BARCELONA huko ni kukufuru [emoji41]
Barcelona ikicheza na yanga inapigwa
 
Barcelona ikicheza na yanga inapigwa
1476880872867.jpg
 
Kwahyo mashabiki wa mikia walitaka wamchangani waongoze wakati wana miaka 4 hawajawahi kunusa ubingwa!???
 
Kuugua mafanikio ya mtu ni maradhi mabaya jamani kwa mujibu wa CAF ndio wameona hivyo ukibisha wewe bisha tu hakuna namna.
 
Back
Top Bottom