Viwango vya ubora kwa vilabu AFRIKA

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Simba sc inashika nafasi ya 12
Namungo fc inashika nafasi ya 56
Yanga sc inashika nafasi ya 75

Je, kuna nini kinakujia kichwani kwako ewe shabiki mwenzangu wa Yanga?

Tuendelee kuwananga wenzetu wakati kila uchao wanatuacha tu na kupepea kwa kujichimbia kileleni au tuwaige nasisi tuweze kufikia walipofikia au kuwakaribia?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki wa yanga wanalishwa sana matango pori kuwa timu yao ni bora hata wakati wa Manji walichukua makombe ya ndani ila kimataifa hawakuwa na maarifa
 
Nyinyi potezeni tu kujadili mambo ya kijinga! Mna mechi 2 kubwa mbele yenu! Na zote mbili lazima mfungwe.

🗣️ Mayeleeee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…