DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Simba sc inashika nafasi ya 12
Namungo fc inashika nafasi ya 56
Yanga sc inashika nafasi ya 75
Je, kuna nini kinakujia kichwani kwako ewe shabiki mwenzangu wa Yanga?
Tuendelee kuwananga wenzetu wakati kila uchao wanatuacha tu na kupepea kwa kujichimbia kileleni au tuwaige nasisi tuweze kufikia walipofikia au kuwakaribia?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Namungo fc inashika nafasi ya 56
Yanga sc inashika nafasi ya 75
Je, kuna nini kinakujia kichwani kwako ewe shabiki mwenzangu wa Yanga?
Tuendelee kuwananga wenzetu wakati kila uchao wanatuacha tu na kupepea kwa kujichimbia kileleni au tuwaige nasisi tuweze kufikia walipofikia au kuwakaribia?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app