kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Nilikuwa nasikiliza vyombo vya habari fulani wakati wanahabari wa vyombo hivyo wakimhoji Juma Mgunda kuhusu kwanini wamemuacha Manula kwenye kikosi cha timu ya Taifa. Waandishi hao wanalazimisha ionekanane kama vile Manula kaonewa kuachwa kwenye kikosi, yaani wanachanganya na unazi wa timu wanayoshabikia. Wanashindwa kufahamu kuwa hakuna mwalimu anayependa timu yake kupoteza mechi wakati kuna mchezaji ambaye angesababisha timu isifungwe kama angecheza.
Mbwana Samatta alivyotua nchini maswali aliyoulizwa na waandishi wetu kuhusu goli la Liverpool na kuhamia timu za Uingereza ni ya kiwango cha chini sana kwa ngazi ya Samatta, hata Mbwana aliona ni kero.
Baadhi ya waandishi wetu hawana weledi wa kutosha hata utakapowasikiliza wakati wa kudadavua mada zinazohusu general knowledge.
Ni kero hata anapotangaza mechi ya mpira wa miguu, huwa wanainamisha uwanja kwa kutangaza mpira wa timu moja.
Wanaboa
Mbwana Samatta alivyotua nchini maswali aliyoulizwa na waandishi wetu kuhusu goli la Liverpool na kuhamia timu za Uingereza ni ya kiwango cha chini sana kwa ngazi ya Samatta, hata Mbwana aliona ni kero.
Baadhi ya waandishi wetu hawana weledi wa kutosha hata utakapowasikiliza wakati wa kudadavua mada zinazohusu general knowledge.
Ni kero hata anapotangaza mechi ya mpira wa miguu, huwa wanainamisha uwanja kwa kutangaza mpira wa timu moja.
Wanaboa