Plot4Sale Viwanja 20 kwa 20 bei Milioni 1.8 Mabwepande

Plot4Sale Viwanja 20 kwa 20 bei Milioni 1.8 Mabwepande

Am a star

Senior Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
167
Reaction score
158
UPDATE:
Viwanja kwa bei ya M1.8 kimebaki kimoja. eneo jingine bei ni juu kidogo.

LOCATION:
Mabwepande, Dar es salaam
Zinapogeuzia daladala za kutoka Makumbusho hadi kwenye viwanja ni kama umbali wa kutoka makumbusho stand hadi Sayansi.

Umeme na maji ni mita 200 kutokea viwanja vilipo.
zinapimwa kuanzia hatua 20 kwa 20 za mtu mrefu. taratibu zote za kuandikishana zitaongozwa na serikali ya mtaa.


USAFIRI:
kwa daladala kutoka Mabwepande kwenda makumbusho nauli 700.
kwa pikipiki kutoka mabwepande kwenda bunju B, nauli 1500/2000.
KUMBUKA
* Kituo kikubwa cha polisi cha kisasa ukanda wa kinondoni kimekamilika na kinafanya kazi.
* Hospitali kubwa ya serikali ukanda huu ukiacha Mwananyamala iko hatua za mwisho.

PIGA SIMU NAMBA 0714274799 Kwa maelekezo zaidi.
wahi sasa ili upate nafasi ya kuunganisha hata viwili kutokea upande wowote utakaopenda.

#usipomiliki Ardhi utaishi kama mtumwa.
 
Wakuu nimeshirikishwa nikaona niwashirikishe..

anaehitaji viwanja 20 kwa 20 awasiliane na muhusika 0714 274 799 ni hekari kama tatu zilizo gawanywa, Mabwepande dar es salaam.
Bei halali 1.8 milioni.
niwatakie kila lakheri.
Mkuu Mabwepande ipi kwenye 20 kwa 20 nami nipate kakipande kamoja.? Unafika Manzese au Mbopo?
 
Kuweni makini sana huko hasa kwa haya mashamba ambayo hayajapimwa hayana hati.Serikali za mtaa wanawauzia watu mara mbili au zaidi mtanikuta mko kumi kiwanja kimoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuweni makini sana huko hasa kwa haya mashamba ambayo hayajapimwa hayana hati.Serikali za mtaa wanawauzia watu mara mbili au zaidi mtanikuta mko kumi kiwanja kimoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
hilo tatizo ni la kila mahali hivyo hakuna mtu atanunua kiwanja kichwa kichwa usawa huu.
 
UPDATE:
Viwanja kwa bei ya M1.8 kimebaki kimoja. eneo jingine bei ni juu kidogo.

LOCATION:
Mabwepande, Dar es salaam
Zinapogeuzia daladala za kutoka Makumbusho hadi kwenye viwanja ni kama umbali wa kutoka makumbusho stand hadi Sayansi.

Umeme na maji ni mita 200 kutokea viwanja vilipo.
zinapimwa kuanzia hatua 20 kwa 20 za mtu mrefu. taratibu zote za kuandikishana zitaongozwa na serikali ya mtaa.


USAFIRI:
kwa daladala kutoka Mabwepande kwenda makumbusho nauli 700.
kwa pikipiki kutoka mabwepande kwenda bunju B, nauli 1500/2000.
KUMBUKA
* Kituo kikubwa cha polisi cha kisasa ukanda wa kinondoni kimekamilika na kinafanya kazi.
* Hospitali kubwa ya serikali ukanda huu ukiacha Mwananyamala iko hatua za mwisho.

PIGA SIMU NAMBA 0714274799 Kwa maelekezo zaidi.
wahi sasa ili upate nafasi ya kuunganisha hata viwili kutokea upande wowote utakaopenda.

#usipomiliki Ardhi utaishi kama mtumwa.
bado kipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom