Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Kutokana na na hadhi ya majina yake, nashauri viwanja hivi vipanuliwe na viboreshwe keundana inayoendana na hadhi majina yake:
(1) Uwanja wa Karume - Dar
(2) Uwanja wa Sokoine - Mbeya
(3) Uwanja wa Nelson Mandela - Sumbawanga
(4) Uwanja wa Kawawa - Kigoma
(5) Uwanja wa Ali hassan mwinyi - Tabora
(6) Uwanja wa Kambarage - Shinyanga
(7) Uwanja wa Karume - Musoma
Ili kufanikisha azima hii, inabidi Serikali kuu, TFF, na serikali za Mitaa kushirikiana.Serikali kuu igharimie asilimia 35%, jukumu hilo ligawanye kwenye wizara za utalii (kitengo cha kumbukumbu ya mambo ya kale), michezo na wizara inayohusika na Ujenzi. TFF nayo igarimie asilimia 35%, wakati serikali za mitaa kwenye miji ilimo viwanja hivyo igharimie 30% .
(1) Uwanja wa Karume - Dar
(2) Uwanja wa Sokoine - Mbeya
(3) Uwanja wa Nelson Mandela - Sumbawanga
(4) Uwanja wa Kawawa - Kigoma
(5) Uwanja wa Ali hassan mwinyi - Tabora
(6) Uwanja wa Kambarage - Shinyanga
(7) Uwanja wa Karume - Musoma
Ili kufanikisha azima hii, inabidi Serikali kuu, TFF, na serikali za Mitaa kushirikiana.Serikali kuu igharimie asilimia 35%, jukumu hilo ligawanye kwenye wizara za utalii (kitengo cha kumbukumbu ya mambo ya kale), michezo na wizara inayohusika na Ujenzi. TFF nayo igarimie asilimia 35%, wakati serikali za mitaa kwenye miji ilimo viwanja hivyo igharimie 30% .