hizi mali mpaka uongee na mhusika mwenye mali vingenevo unaweza kuishia kuitazama na ikawa kwa heri.HABARI Karibu MUDU COMPANY LTD Located at Mbezi Beach samaki wabichi house 2nd floor Ni kampuni ya debt collection ,auctions and real estates tunauza. Nyumba na viwanja mbalimbali Maeneo tofauti ndani ya Dar kwa mnada kwa idhini ya benki ya Akiba Commercial Benki na Kibali Cha Mkuu wa wilaya.#contact 0767605586.
View attachment 2199456
View attachment 2199458
View attachment 2199461
View attachment 2199462
View attachment 2199463
View attachment 2199465
View attachment 2199466
Una maanisha nn mkuu hebu fafanua kidogohizi mali mpaka uongee na mhusika mwenye mali vingenevo unaweza kuishia kuitazama na ikawa kwa heri.
Mikopo ni utumwa aina ya utumwa wa hiyari utumwa wa lazima. Yanakondesha yanafanya akili isimame yanaleta uadui yanaleta mafarakano kwa ndugu yanatajirisha wakopeshaji yanafilisi wakopajiBora uongee kwanza na mwenye nyumba upate ridhaa yake kwamba yeye angependa apate angalau bei gani.sababu kuna machozi hapo yatamtoka kuikosa nyumba aliyoisotea kuijenga halafu benk waiuze kwa nusu gharama.Mikopo ni hatari sana usipojua sayansi yake.Hasa kama unategemea marejesho kupitia biashara.
Million 135 hii Ni nyumba Ina vyumba vya madarasa piaView attachment 2199796
Bei ya kuanzia?
Hii nyumba no mbili ipo mitaa gani??HABARI Karibu MUDU COMPANY LTD Located at Mbezi Beach samaki wabichi house 2nd floor Ni kampuni ya debt collection ,auctions and real estates tunauza. Nyumba na viwanja mbalimbali Maeneo tofauti ndani ya Dar kwa mnada kwa idhini ya benki ya Akiba Commercial Benki na Kibali Cha Mkuu wa wilaya.#contact 0767605586.
View attachment 2199456
View attachment 2199458
View attachment 2199461
View attachment 2199462
View attachment 2199463
View attachment 2199465
View attachment 2199466
Hii nyumba no mbili ipo mitaa gani??
nilishanunua nyumba kama hivo inauzwa bank nilipata tabu sana..palikua hapakaliki na mlengwa ni mm tu wengne wote hakuna.Una maanisha nn mkuu hebu fafanua kidogo
Ina maana panakuwa na mauzauza au?nilishanunua nyumba kama hivo inauzwa bank nilipata tabu sana..palikua hapakaliki na mlengwa ni mm tu wengne wote hakuna.
HABARI Karibu MUDU COMPANY LTD Located at Mbezi Beach samaki wabichi house 2nd floor Ni kampuni ya debt collection ,auctions and real estates tunauza. Nyumba na viwanja mbalimbali Maeneo tofauti ndani ya Dar kwa mnada kwa idhini ya benki ya Akiba Commercial Benki na Kibali Cha Mkuu wa wilaya.#contact 0767605586.
View attachment 2199466
Kiwanja kipo wapi, ukubwa wake na bei ya kuanzia tafadhali
Boss sisi Ni kampuni tunauza properties mbali mbali kwa idhini ya benki kwa hiyo a viwanja Ni vingi tuwasiliane 0767605586 ili tuweke sawaKiwanja kipo wapi, ukubwa wake na bei ya kuanzia tafadhali
Kiwanja kipo wapi, ukubwa wake na bei ya kuanzia tafadhali