Viwanja Ubungo External vinauzwa

mkuu Elnino,
nina sehemu Dege.kumbe naweza hamia kama wewe upo kimbiji mimi wa dege bado nasuasua ktk foleni za bwagamoyo Road 🙁 ngoja nijange niachane na zogo la foleni za dar ukizingatia mafuta yanapanda kila siku
 
hii kambi haina mabomu? :focus: mkuu 2.5km kutoka mandela road!! imekuwaje hivyo viwanja viko wazi mpaka sasa?


viwanja viko wazi kwa sababu vilikua wazi siku zote...kuhusu mabomu sielewi mimi sio mwanajeshi wa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…