uncledalali
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 249
- 118
- Thread starter
- #21
Kuingia Ndani Mkuu"1.2km kutoka stand ya daladala goba"
unamaanisha kuingia ndani? au 1.2km ukiendelea kama unaenda mbezi/masana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuingia Ndani Mkuu"1.2km kutoka stand ya daladala goba"
unamaanisha kuingia ndani? au 1.2km ukiendelea kama unaenda mbezi/masana?
Vina Offer, process zinaendelea...Mkuu vimepimwa kwa maana ipi? Vina HATI
Cha 30x40 kwa mil 12 unachukua?Viwanja vipo Kilometer1.2 kutoka stedi ya daladala ya Goba. Viwanja vimepimwa kama ifuatavyo:--
Ukubwa 20M×20M (SQM 400)-Bei 10Milioni
Ukubwa 20M×40M (SQM 800)-Bei 20Milioni
Ukubwa 30M×40M (SQM 1200)-Bei 30Milioni. Maelewano Yapo Mawasiliano: 0752953860.
Bagamoyo Buyuni unapata, tena kwa 10milCha 30x40 kwa mil 12 unachukua?
bagamoyo sehem gani na ukubwa gani kwa bei gani?Ndiyo Bei iyo, Bagamoyo vipo vya bei rahisi
Shamba Lipo ''Bagamoyo Fukayose'' Bei Milioni 2 kwa ekari 1.bagamoyo sehem gani na ukubwa gani kwa bei gani?
nahitaji shamba huko
Kwani hicho ulichoweka bei hapo ni bagamoyo? Bagamoyo napata maekari na maekari kwa mil 12Bagamoyo Buyuni unapata, tena kwa 10mil
Bagamoyo kubwa, Kama mashamba sawa.Kwani hicho ulichoweka bei hapo ni bagamoyo? Bagamoyo napata maekari na maekari kwa mil 12
Kwani hicho ulichoweka bei hapo ni bagamoyo? Bagamoyo napata maekari na maekari kwa mil 12